Umeitelekeza thread yako ya LIVE-CCM unakuja kuripoti thread nyingine. Eti watu elfu 10 tayari wameshafika King'ori wakati huo ilikuwa saa 11 asubuhi dah uongo mwingine tabu tupu.Kifaranga kipi kati ya hivi Mbowe alivyovitaja ambavyo vitaongoza Jahazi lilotoboka la Chadema Wade, Zitto ama Mboyee