Donyongijape
JF-Expert Member
- May 28, 2010
- 1,497
- 811
Kamanda Mbowe anaunguruma kuwa Nasari amekwenda vijiji vyote 86 na kote huko wamemuahidi kumpa kura za kishindo.
Mungu saidia iwe hivyo..hawachelewi kubadilika hao wakiingiwa na ka-mdudu ka ubwabwa,kanga,pombe etc.