Chakunyuma
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 810
- 152
That's good move!
Kuna principle moja niisoma inasema hivi
"Tell them what you want to tell, tell them and tell them what you told them"
Ikimaanisha unapohutubia anza kwa kuwaambia nini unataka kuwaambia, waambie then waambie ulichowaambia.
Hii inafanana na hii ya CDM kwamba walifungua kwa television, wakafanya mikutano kuelezea zaidi na mwisho wanawakumbusha walichokuwa wakiwaambia kupitia mikutano yao.
Kuna principle moja niisoma inasema hivi
"Tell them what you want to tell, tell them and tell them what you told them"
Ikimaanisha unapohutubia anza kwa kuwaambia nini unataka kuwaambia, waambie then waambie ulichowaambia.
Hii inafanana na hii ya CDM kwamba walifungua kwa television, wakafanya mikutano kuelezea zaidi na mwisho wanawakumbusha walichokuwa wakiwaambia kupitia mikutano yao.