Chadema wakishinda najinyonga makamanda.
Kuanzia saa ngapi mkuu?
Dawa ake chadema tukishinda tunakuja na thread ya kifo cha huyu mchungaji fake....ni rahisi kusema hivyo na ID fake. mods chadema ikishinda huyu apigwe ban ya milele!
Mkutano wa CHADEMA live STAR tv na ITV LEO SAA 10 JIONI
ya CCM itaoneshwa na TB CCM......Mkutano wa CHADEMA live STAR tv na ITV LEO SAA 10 JIONI
Tengeru - Patandi ni kuanzia saa nane kamili hadi saa kumi. Kumi mpaka kumi na mbili USA Lenganga.
Chadema wakishinda najinyonga makamanda.