Losambo
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 2,612
- 864
Updates:
Mkutano umekwisha wakuu, kilichotokea ni historia katika Arumeru watu walikuwa ni wengi haijawahi kutokea na kitu kilikuwa kimeratibiwa vizuri.
Ni wazi ushindi ni kwa Nassari bila chenga.
Nassari anatoa kituko hapa, katika kujibu hoja ya kuwa na mke.
Anasema kwa kuwa Halima Mdee hajaolewa basi wakimuudhi anaweza kumuoa Mdee kisha Aremeru ikawa ina wabunge wawili!!!!!!
Mbowe anasema wanampango wa kupeleka hoja binafsi marais wastaafu ambao wanafanya kazi za chama wasilipwe pension na serikali bali chama.
Slaa atoa tuhuma nzito kuwa leo katika hotel Snow Cret kulikuwa na mkutano kati ya tume na CCM ili kuona jinsi ya kuokoa jahazi.
Vicent Nyerere anasema Wameru wanatatizo moja tu, tatizo lao ni pale wanaponyang'anywa haki haki yao. Anasema haki yao ni Nasari.
WanaJF nitakuwa live kuwaletea bila chenga yatayojiri katika mikutano ya kufunga kampeni ya jimbo la Arumeru. Hivi sasa mambo yanaendelea kwa kuwapika mawakala eneo la USA.
Vitendea kazi vipo vya kutosha kwa ajili ya picha na videos.
Stay tuned,
Mkutano umekwisha wakuu, kilichotokea ni historia katika Arumeru watu walikuwa ni wengi haijawahi kutokea na kitu kilikuwa kimeratibiwa vizuri.
Ni wazi ushindi ni kwa Nassari bila chenga.
Nassari anatoa kituko hapa, katika kujibu hoja ya kuwa na mke.
Anasema kwa kuwa Halima Mdee hajaolewa basi wakimuudhi anaweza kumuoa Mdee kisha Aremeru ikawa ina wabunge wawili!!!!!!
Mbowe anasema wanampango wa kupeleka hoja binafsi marais wastaafu ambao wanafanya kazi za chama wasilipwe pension na serikali bali chama.
Slaa atoa tuhuma nzito kuwa leo katika hotel Snow Cret kulikuwa na mkutano kati ya tume na CCM ili kuona jinsi ya kuokoa jahazi.
Vicent Nyerere anasema Wameru wanatatizo moja tu, tatizo lao ni pale wanaponyang'anywa haki haki yao. Anasema haki yao ni Nasari.
WanaJF nitakuwa live kuwaletea bila chenga yatayojiri katika mikutano ya kufunga kampeni ya jimbo la Arumeru. Hivi sasa mambo yanaendelea kwa kuwapika mawakala eneo la USA.
Vitendea kazi vipo vya kutosha kwa ajili ya picha na videos.
Stay tuned,