Hivi mikutano ya CCM bila kuwa mwanachama au T-shirt, kofia au khanga ya kijani na njano hurusiwi kuhudhuria mikutano yao?? Nimefuatilia picha kibao humu ndani lakini tofauti na CHADEMA mikutano ya CCM ni kijani na njano tu. Je hii ina maana kuwa CCM inafanya kampeni kwa wanachama wake tu??
Kila Tshirt, Kofia, bango, nk unaloona mkutano wa CCM lina maana ya kifo cha mama mjamzito mmoja kufariki kwa kukosa ambulance, mkasi, nurse nk! Naililia nchi yangu!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.