MzalendoHalisi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2007
- 4,514
- 1,360
Ulipewa risiti ya hiyo shs 50000/-?kama ukupewa umeliwafomu ni bure CRDB,wizi mtupu! wanatulipisha shs 30000/- kama legal fee kwa mwanasheria wao wenyewe ambaye wanadili naye,kama una mwanasheria wa kwako wa bure ruksa.Katika organisation yangu wengi wanamlalamikia kwa yule loan officer ambaye yupo responsible na sisi anapenda rushwa sana, ni pale H/House.
Kwani wengine si wamo humu, waambiwe ili waache hako kamchezo ka rushwa.
Renegade,
Loan Officer wa Holland House CRDB anayekwamisha mikopo ya wateja kwa kudai Rushwa..hivi Kimei unalijua hili??
Jina la huyu Loan Officer CRDB ni nani?
Tumshikie basi bango!!!!