kisale
Senior Member
- Mar 3, 2009
- 111
- 1
napenda kwashirikisha wanajamii hili suala la mikopo kwenye mabenki yetu hapa Tanzania.siku hizi ukienda kuomba mkopo benki utapewa masharti kama tulivyozoea,ila kinachonikera ni tabia hii ya kuomba rushwa kwa hawa loan officcer ili uweze kupata hela unazotaka.Mtu una hati ya nyumba,mdhamini na biashara unayo,ukiomba mkopo wa 5milioni utaambia utoe shilindi laki tatu ili waprocess hiyo loan uliyoomba.Jamani kwa staili hii kweli tutapata maendeleo Tanzania?..mabenki kama NMB,na Access Bank ndio wamezidi kwa huo mchezo.