mwaka huu mikopo haitachelewa kuingizwa kwenye akaunt za wanafunzi,hii ni kupunguza maandamano ya wanafnz na maandalz ya uchaguz 2015,chanzo mdau wangu loan board.
Member Arraymkuu huyo ci angekwambia wanatoa tarehe ngap?makee ilo alijaanza ku2humiza li2humizalo ni hilo la lin zinatoka!