Waungwana napenda kuileta mada hii ili 2weze kuijadili kwa uwazi na zaidi;
Mikopo ya vyuo vya elimu ya juu nchini kuwa inatolewa na vyuo usika, je ? itakuwa suluhisho katika uta2zi wa migogoro ndani ya vyuo nchini!
waungwana naomba kuwasilisha.
Tusubiri tuone utaratibu watakao tumia kwani wamesema tu hivyo na utaratibu hasa utakao tumika huko vyuon haujajulikana hivyo tukijadili ni kama tunaangaika na box wakati malighafi iko ndani, lakini pia wasipokuwa makini wataongeza migomo vyuoni thou i do believe wameliona hili hawajakurupuka