wade adams
Senior Member
- Dec 2, 2011
- 160
- 47
Naomba ushauri labda sielewi vizuri somo. mimi nlidhani ili nipate mkopo niwe na businessplan,collateral, legal business, kuwa unalipa kodi, una business license etc. sasa kuna bank zingine zanakuambia hatawezi kukuongezea mkopo hadi mzunguko wako wa fedha uwe mzuri. ili mzunguko uwe mzuri inabidi kuwa na hela. sasa nipate wapi feha ina maana nikatafute fedha mahali pengine kwanza ndiyo niende benki hi. nini kinachotakiwa kianze biashara au mtaji.