SMU
JF-Expert Member
- Feb 14, 2008
- 9,616
- 7,863
Nimeona kwenye baadni ya magazeti ya leo tume inaomba wananchi na wadau wa elimu ya juu kwa ujumla kuchangia mawazo ya namna ya kuboresha utoaji wa mikopo wa wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu hapa nchini.
Naamini humu pia tumo wadau wengi, hebu tujaribu kutumia angalau dakika chache kutoa mawazo yetu hapa: Ushauri na Mapendekezo | Tume Mikopo
Basically, kuna maswali mawili:
1. Kuzingatia ongezeko la wanafunzi wengi wahitaji wa elimu ya juu, ni mambo gani yafanyike ili suala la mikopo liwe endelevu na lenye ufanisi katika uchangiaji wa elimu ya juu?
2. Una mapendekezo gani yoyote ya ziada yatakayosaidia kuboresha mfumo wa kugharimia elimu ya juu na utoaji wa mikopo?
Naamini humu pia tumo wadau wengi, hebu tujaribu kutumia angalau dakika chache kutoa mawazo yetu hapa: Ushauri na Mapendekezo | Tume Mikopo
Basically, kuna maswali mawili:
1. Kuzingatia ongezeko la wanafunzi wengi wahitaji wa elimu ya juu, ni mambo gani yafanyike ili suala la mikopo liwe endelevu na lenye ufanisi katika uchangiaji wa elimu ya juu?
2. Una mapendekezo gani yoyote ya ziada yatakayosaidia kuboresha mfumo wa kugharimia elimu ya juu na utoaji wa mikopo?