Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
MTM shida ni dini tu ndio inawasumbua hata hamfuatilii vizuri habari ya mama huyu?Masa, tusimpe umaarufu mchawi mazee, tumuangalie na huyu mama... mbona anawahi kwenye vijarida akiwa na mambo yanayohusu uchwi wakati haji mbele ya jamii kwa yale mengine mema kama kusaidia masikini?
Hata kama anashida nyingine, sijui. lakini ninachojua huyu mama amekuwa akisomesha yatima na wasiojiweza wengi tu, tena bure, katika shule zake za st Mary's.
Sasa mema mengine ya kijamii unayotaka ni yapi?
Yamkini hata kumleta huyo mchawi kutoka katika mkono ya shetani kuja kwa Mungu kupitia Yesu Kristo ni jema!
Mengine ni chuki zenu tu za dini wala haziwasaidii kitu. Na kama ulikuwa mteja wa huyo mganga umeliwa maana tayari kesha waacha njia panda.