Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,779
Ageuke ili iweje BADILI TABIA ?
We muache naweza mmwagia razi wkt wowote ngoja azidishe hiyo agenda.
Last edited by a moderator:
Ageuke ili iweje BADILI TABIA ?
nim'tathmini'
Wataka kutathmini tu? Hakuna kingine? Umejiandaa na futikamba ?
Au kwa macho tu?
We Mentor kwani walioko Dar na Arusha hawako Mikoani?
Yote ni Mikoa au unamaanisha nini?
Kigoma ni mkoa kama ulivyo Dar Mwanza na Arusha
Heheheee
Ukipita Katonga wasalimu wote
Wataka kutathmini tu? Hakuna kingine? Umejiandaa na futikamba ?
Au kwa macho tu?
We muache naweza mmwagia razi wkt wowote ngoja azidishe hiyo agenda.
Nikiombwa kwa dhati naweza geuka!
Bt iwe usiku mchana macho yatakua mengi na hasa ya watoto! Mimi gopa!