Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,329
- 23,873
- Thread starter
- #21
Nilishapiga mwezi mzima hapo ila ujiji semegi yangu nilipapenda sana kuliko Mwanga na Kigoma town kule Uhindini .
Ujiji pako kihistoria zaidi, majengo ya kale mengi hayajabadilishwa.
Shem..sio mbali na mjini??!
Yani it was a nice coincidence..naingia Kigoma af ndo mara ya kwanza nalisikia lisongi la kigomAllStars..Leka dutigite...still replaying it.