The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,108
- 115,842
Nasikisikia tu
kuwa kuna mikoa mipya ya Simiyu na Katavi
wakati fulani nilisikia Njombe na Geita pia ni mikoa
sasa kama kuna mtu ana ramani mpya inayoonyesha mikoa yoote mipya ya Tz
na wilaya zake naomba aweke hapa
nina uhakika wengi wetu hatujui mikoa hiyo mipya ndo ipi?
imekatwa katwa vipi kutoka ya zamani...
kuwa kuna mikoa mipya ya Simiyu na Katavi
wakati fulani nilisikia Njombe na Geita pia ni mikoa
sasa kama kuna mtu ana ramani mpya inayoonyesha mikoa yoote mipya ya Tz
na wilaya zake naomba aweke hapa
nina uhakika wengi wetu hatujui mikoa hiyo mipya ndo ipi?
imekatwa katwa vipi kutoka ya zamani...