Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kati ya mambo yote ya ajabu sielewi kwanini Pwani haigawanywi ili kuongeza eneo la mkoa wa Dar!!! it makes absolutely NO SENSE!!!!!
Mkuu Gender Sensitive naomba unieleweshe unaongezaje maendeleo kwa kufanya say Njoluma kuwa mkoa, to me naona kulikuwa na watendaji kama kawaida kama wakuu wa wilaya, watendaji wa wilaya n.k ambao tunategemea watafanya kazi na kustir development. Kwa sasa utakuwa na mkuu wa mkoa pale Njombe na bado utakuwa na mkuu wa wilaya katika wilaya zinazounda mkoa, ulichofanya ni kuongeza ofisi ya mkuu wa mkoa ambayo itaongeza zaidi matumizi na kutupa return ndogo sana. Please nieleweshe, maendeleo yanakuja vipi hapo.Mwanakijiji Mkoa wa Iringa ni Mkubwa sana na hata geographical location zake kati ya Wilaya na Wilaya imekaa vibaya sana.I have been kwenye hizi wilaya zote zilizotajwa hapa Makete,Ludewa na Njombe mi kwa kweli naunga mkono suala hili.Ni bora wilaya hizi zipewe hadhi ya kuwa mkoa ili kupeleka kasi maendeleo ya maeneo haya.
Haya majina hata hayapendezi, kwa mara ya kwanza tunakuwa na jina/majina ya mikoa abbreviated! walishindwa kukubaliana jina moja zuri (relative term though) lenye maana kama ilivyo manyara? huenda hata majina ya wilaya ni vifupi vya kata zinazounda.
Kigezo kikubwa walicho tumia eti kusogeza maendeleo kwa wananchi kwa haraka vimkoa vidogo vyenyewe wameshindwa kuvipelekea maendeleo ya haraka mpaka kesho vinashika mkia kimaendeleo wananchi wenyewe wanaishi kwa matumaini huduma za muhimu kama maji,shule, dispensary ni za kubabaisha tu nenda huko Lindi na Mtwara kisha safiri Kigoma yaani watawala wetu wanachekesha naona nyuma ya pazia ni kujiongezea ulaji kwa watu frani frani.
Kanchi kenyewe kadogo bado tena tunataka kukagawa wee mpaka wapi sijui.size ya tanzania ni sawa na province labda 2 tu za China.Kwani saizi ya mikoa ni sawa na majimbo kwa nchi kama China?
Kwani saizi ya mikoa ni sawa na majimbo kwa nchi kama China?
Mwanakijiji Mkoa wa Iringa ni Mkubwa sana na hata geographical location zake kati ya Wilaya na Wilaya imekaa vibaya sana.I have been kwenye hizi wilaya zote zilizotajwa hapa Makete,Ludewa na Njombe mi kwa kweli naunga mkono suala hili.Ni bora wilaya hizi zipewe hadhi ya kuwa mkoa ili kupeleka kasi maendeleo ya maeneo haya.
Naomba kuuliza, fedha za kuongeza mikoa zinatoka wapi?
Naomba kuuliza, tunapodai mikoa ni mikubwa sana kiutawala je ina maana hatuna watu wenye uwezo wa kuongoza na kuleta ufanisi mpaka tuanze kupunguza ukubwa? Kama ni hivyo kwa nini tusipunguze basi ukubwa wa nchi kwa kuwa imetushinda kutawala?