Mikoa inayoongoza kwa UMALAYA

Kiranja Mkuu

JF-Expert Member
Feb 18, 2010
4,066
4,085
Hebu nipeni losti wadau ila nadhani Dar inaongoza. Kila sehemu niendako nakutana na lundo la machangudoa.
 
Tulizana mwana kwetu, hapa JF mbona kuna kila cha kukufanya hata nje usitoke?
 
Hebu nipeni losti wadau ila nadhani Dar inaongoza. Kila sehemu niendako nakutana na lundo la machangudoa.
dar ni mji mgumu sna kimaisha ndomana umeweza kuwaona ila kuna sehemu ninoma sema mpaka uwe na macho ya choro km zenj mombasa .tanga.iringa
 
Mbona umetaja sehemu nyingi za mashoga? Mombasa, Zenji and Tanga wamejaa watoto wa kiume wa kike
 
Upuzii mtupu..... kuna cha mikoa inayoongoza kwa umalaya dunia ya leo? jaribu kuumiza kichwa chako kabla ya kuanzisha upupu kama huu...
 
Pemba tena, mie nilienda huko kwenye miradi, fasta nikaambiwa uniachie uke wangu ntakupa kwa huku(nyuma). Nikasita na kuchekwa
 
Lkn mada nyingine jamani cjui watu wamechoka kutoa mada za ujenzi wa taifa? kwanini tusiwajadili hata mawaziri basi utendaji wao,tujadili ufidi kama bandarini, TRA, ujambazi, ajali za barabarani, mwl. Nyerere na utendaji wake, Shein je ataifikisha wapi zenj, je zanzibar unadhani umjoa wa kitaifa utaobadili TZ kwa ujumla wake? je mwl Seif ataisaidia zanzibar au longolongo? je mafuta na gas inafaa kuwa mambo ya muungano? je utakatifu wa rais na mengine aliyosema yafaa kuachwa au tuyajadili hata kama tume inayahodhi? je Tanganyika yetu irudi au tubaki na TZ? nadhani kama tutaamua kuyajadlil haya mojamoja tutaiwezesha nchi yetu kuwa mbali, lkn bado asubuhi tuanzungumzia mambo yasiyo tija, nisawa na kusema aa! yule jama noma, anakunywa mizinga miwili bila maji au soda,lkn hujui anajifia mwenyewe nakuwaachia wanawe uyatimaa?
Let us takl the Hard talks 4 the future of ours.
 
Lkn mada nyingine jamani cjui watu wamechoka kutoa mada za ujenzi wa taifa? kwanini tusiwajadili hata mawaziri basi utendaji wao,tujadili ufidi kama bandarini, TRA, ujambazi, ajali za barabarani, mwl. Nyerere na utendaji wake, Shein je ataifikisha wapi zenj, je zanzibar unadhani umjoa wa kitaifa utaobadili TZ kwa ujumla wake? je mwl Seif ataisaidia zanzibar au longolongo? je mafuta na gas inafaa kuwa mambo ya muungano? je utakatifu wa rais na mengine aliyosema yafaa kuachwa au tuyajadili hata kama tume inayahodhi? je Tanganyika yetu irudi au tubaki na TZ? nadhani kama tutaamua kuyajadlil haya mojamoja tutaiwezesha nchi yetu kuwa mbali, lkn bado asubuhi tuanzungumzia mambo yasiyo tija, nisawa na kusema aa! yule jama noma, anakunywa mizinga miwili bila maji au soda,lkn hujui anajifia mwenyewe nakuwaachia wanawe uyatimaa?
Let us takl the Hard talks 4 the future of ours.


Mkuu unataka maendeleo ya taifa yajadiliwe kwenye jukwaa hili kweli?adhani jukwaa specila la mambo hayo lipo.
 
well siasa hapa si mahala pake,wengine nafsi zetu zimechoshwa na siasa,utatufanya tuangushe vilio kwa yaliyo tukuta hapo awali.
 
Back
Top Bottom