BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,011
Hahahahahaha lol! Katerero ndo nini!?
nyie mnaongoza kwa katelero tu....
nyie mnaongoza kwa katelero tu....
Miss Tanzania ni mtu 1,mkoa unawanawake zaidi ya 500000.check miss tanzania wanatokea mikoagani
Kwa utafiti wangu,hii ndo list ya mikoa kumi yenye totoz za ukweli na asilimia zake kwenye mabano
1.Tanga-87%
2.mwanza-82%
3.dar-78%
4.dodoma-76%
5.arusha-73%
6.mara-70%
7.morogoro-66%
8.kilimanjaro-65
9.tabora-59%
10.shinyanga-51%
Tupo kizazi cha tamaa hivi huoni warembo wanazailiwa daily utapenda wangapi wewe wa kukurupuka?!! poa tukusaidie kigezo mojawapo be beauty at 20 age, successful at 30 age wiser at
age of 40 short of that you can't be!!!!!
Hahaa... Huyo naona ana utani na watani zangu wa kutoka Mkoa wa Ziwa Magharibi...Mbweenu!.:smile-big:Hahahahahaha lol! Katerero ndo nini!?
Hivi ni hawa wadada mnaowasifu wenye shepu kama mswaki?
Tanga woyeeeee ila hujaitendea haki arusha & manyara kuna totoz za kinyaturu na kimburu
Kwa utafiti wangu,hii ndo list ya mikoa kumi yenye totoz za ukweli na asilimia zake kwenye mabano
1.Tanga-87%
2.mwanza-82%
3.dar-78%
4.dodoma-76%
5.arusha-73%
6.mara-70%
7.morogoro-66%
8.kilimanjaro-65
9.tabora-59%
10.shinyanga-51%
xiexie=shishe=ahsante-we lazima unafanya startimes...na jina lako ni.
Mbeya je