Hii ndio mikataba baina ya Cheka na Promoter ,kwa mikataba kama hii hata ningekuwa mimi naweza nisipande ulingoni na ukinipeleka mahakamani sihitaji wakili nasimama mwenyewe.Chunguza kwa makini utagundua mapungufu makubwa sana.
Ila inaonekana mapromota walio wengi ni "Maimuna" Hebu cheki hayo maandishi ya kalamu ya wino.Bora uandike kwa kiswahili tu; malipo ya awali, salio,malipo ya ziada. Unasomeka uzuri tu.
Ila inaonekana mapromota walio wengi ni "Maimuna" Hebu cheki hayo maandishi ya kalamu ya wino.Bora uandike kwa kiswahili tu; malipo ya awali, salio,malipo ya ziada. Unasomeka uzuri tu.
hapa vipi?mikataba miwili,bondia moja kupigana na mabondia wawili siku moja muda wa saa kumi na nusu jioni na kupanda ulingoni tena saa tano usiku kupambana na mwingine......basi kama ndo ivi Cheka atakuwa anatisha sana kwenye ndondi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.