Mikael P Aweda kuishambulia TBC kupita ITV. Maoni yangu.

NAMI

Member
Aug 13, 2012
59
14
Jana nilimsikiliza vizuri sana Aweda kwenye Malumbano ya hoja. Alizungumza vizuri sana kuliko wazungumzaji walio wengi. Lakini point yake ya pili kwa maoni yangu alipotea ramani kabisa na kujiharibia mwenyewe kabisa. Si sahihi yeye kuisifia ITV ambayo inamwalika karibu kila wiki mara malumbano ya hoja, mara kipima joto mara vipindi vipindi vingine halafu akapata ujasiri wa kitoto wa kuishambulia TBC kuwa ni kipeperushi cha baadhi ya vyama. Nina uhakika alikuwa analenga TBC japokuwa hajaitaja kwa jina. Ina maanisha kwamba Aweda hahitaji kutumia TBC hata siku moja?

Je, kwa kuwa Mbowe na kamati kuu wamesema yeye ilikuwa inamhusu nini kuingia kwenye hoja ambazo hazimsaidii.

Kwa kweli, nilikuwa namheshimu sana Aweda hapa JF na ktk vipindi vya ITV ambavyo mimi nimtazamaji mzuri lakini jana nilimwonea kama mwanampotevu.

Mwisho, Aweda nakushauri, najua JF unakuja kwa mara na thread yangu utaisoma, achana utoto. Vinginevyo siasa zitakushinda mapema kabisa mdogo wangu.
 
Jana nilimsikiliza vizuri sana Aweda kwenye Malumbano ya hoja. Alizungumza vizuri sana kuliko wazungumzaji walio wengi. Lakini point yake ya pili kwa maoni yangu alipotea ramani kabisa na kujiharibia mwenyewe kabisa. Si sahihi yeye kuisifia ITV ambayo inamwalika karibu kila wiki mara malumbano ya hoja, mara kipima joto mara vipindi vipindi vingine halafu akapata ujasiri wa kitoto wa kuishambulia TBC kuwa ni kipeperushi cha baadhi ya vyama. Nina uhakika alikuwa analenga TBC japokuwa hajaitaja kwa jina. Ina maanisha kwamba Aweda hahitaji kutumia TBC hata siku moja? Je, kwa kuwa Mbowe na kamati kuu wamesema yeye ilikuwa inamhusu nini kuingia kwenye hoja ambazo hazimsaidii.
Kwa kweli, nilikuwa namheshimu sana Aweda hapa JF na ktk vipindi vya ITV ambavyo mimi nimtazamaji mzuri lakini jana nilimwonea kama mwanampotevu.
Mwisho, Aweda nakushauri, najua JF unakuja kwa mara na thread yangu utaisoma, achana utoto. Vinginevyo siasa zitakushinda mapema kabisa mdogo wangu.

Mahaba haya jamani! Hivi miaka 50 ya wizi wa Magamba bado mna mahaba kiasi hiki! wewe ni msemaji wa TBCCM?
 
Mimi huwa nashangaa sana mtu unaposhindwa kushindana kwa hoja na kuanza kumshambulia mtu 'kibinafsi'.
Swala 'utoto' linakujaje hapo?
After all kila mtu anatoa maoni yake kulingana na mtazamo wake katika jambo flani.
Hata kama maoni yake hayakufurahishi lakini ndio mtazamo wake huo na ana vigezo vyake.
 
Mimi naona wewe ndio unakosa weredi! Tbc ni chombo cha kitaifa wanapokiuka maadili na kuwa chombo cha propaganda waambiw
 
siasa zitamshinda kwa kuiponda TBCCCM au kwa kuisifia ITV.??
 
Mods toa hii **** plz! Kwani huyo Aweda alienda ITV kuwakilisha JF? Una uhakika gani Aweda huyo aliekuwa ITV ndio huyu hapa wa JF?
Hapa mtoto ni wewe, you don't need to show off that you know the guy. Ungeweza kuongelea hoja bila kumhusisha na ID yake!
 
Mimi naona wewe ndio unakosa weredi! Tbc ni chombo cha kitaifa wanapokiuka maadili na kuwa chombo cha propaganda waambiw


Awenda ni nani ktk nchi hii mpaka yeye awafundishe TBC kazi na weledi. Visifa mnavyompa humu JF ndo vinampa kiburi sana huyu hadi anaenda nayo ITV hajui kwamba ITV siyo JF. Mbona hamnielewi.
 
Jana nilimsikiliza vizuri sana Aweda kwenye Malumbano ya hoja. Alizungumza vizuri sana kuliko wazungumzaji walio wengi. Lakini point yake ya pili kwa maoni yangu alipotea ramani kabisa na kujiharibia mwenyewe kabisa. Si sahihi yeye kuisifia ITV ambayo inamwalika karibu kila wiki mara malumbano ya hoja, mara kipima joto mara vipindi vipindi vingine halafu akapata ujasiri wa kitoto wa kuishambulia TBC kuwa ni kipeperushi cha baadhi ya vyama. Nina uhakika alikuwa analenga TBC japokuwa hajaitaja kwa jina. Ina maanisha kwamba Aweda hahitaji kutumia TBC hata siku moja? Je, kwa kuwa Mbowe na kamati kuu wamesema yeye ilikuwa inamhusu nini kuingia kwenye hoja ambazo hazimsaidii.
Kwa kweli, nilikuwa namheshimu sana Aweda kwenye mitandao na ktk vipindi vya ITV ambavyo mimi nimtazamaji mzuri lakini jana nilimwonea kama mwanampotevu.
Mwisho, Aweda nakushauri, najua JF unakuja kwa mara na thread yangu utaisoma, achana utoto. Vinginevyo siasa zitakushinda mapema kabisa mdogo wangu.
Mods msifute mada yangu, kwa sababu mimi sijui kama Mikael P Aweda huyo ni wa JF au La.
 
Jana nilimsikiliza vizuri sana Aweda kwenye Malumbano ya hoja. Alizungumza vizuri sana kuliko wazungumzaji walio wengi. Lakini point yake ya pili kwa maoni yangu alipotea ramani kabisa na kujiharibia mwenyewe kabisa. Si sahihi yeye kuisifia ITV ambayo inamwalika karibu kila wiki mara malumbano ya hoja, mara kipima joto mara vipindi vipindi vingine halafu akapata ujasiri wa kitoto wa kuishambulia TBC kuwa ni kipeperushi cha baadhi ya vyama. Nina uhakika alikuwa analenga TBC japokuwa hajaitaja kwa jina. Ina maanisha kwamba Aweda hahitaji kutumia TBC hata siku moja? Je, kwa kuwa Mbowe na kamati kuu wamesema yeye ilikuwa inamhusu nini kuingia kwenye hoja ambazo hazimsaidii.
Kwa kweli, nilikuwa namheshimu sana Aweda kwenye mitandao na ktk vipindi vya ITV ambavyo mimi nimtazamaji mzuri lakini jana nilimwonea kama mwanampotevu.
Mwisho, Aweda nakushauri, najua JF unakuja kwa mara na thread yangu utaisoma, achana utoto. Vinginevyo siasa zitakushinda mapema kabisa mdogo wangu.
Mods msifute mada yangu, kwa sababu mimi sijui kama Mikael P Aweda huyo ni wa JF au La.

Kama Great Thinker, hukutakiwa kuwa na jaziba juu yake iwapo umethibitisha pasi kuacha shaka kuwa hauitaja kwa jina kuwa ni TBC. Hivyo hisia zako ndo zilikupelekea kufikiri hivyo. Kwa ushauri wangu jipange upya, ondoa jaziba na umwombe msamaha then toa allegations zako juu yake ili aweze kukujibu. Vinginevyo hapo jibu lake ni dogo na ni moja tu "Sikutaja TBC"
 
"Nina uhakika alikuwa analenga TBC japokuwa hajaitaja kwa jina" Sasa mkuu aliishashambuliaje bila kutaja jina? Ufafanuzi tafadhali.
 
Jana nilimsikiliza vizuri sana Aweda kwenye Malumbano ya hoja. Alizungumza vizuri sana kuliko wazungumzaji walio wengi. Lakini point yake ya pili kwa maoni yangu alipotea ramani kabisa na kujiharibia mwenyewe kabisa. Si sahihi yeye kuisifia ITV ambayo inamwalika karibu kila wiki mara malumbano ya hoja, mara kipima joto mara vipindi vipindi vingine halafu akapata ujasiri wa kitoto wa kuishambulia TBC kuwa ni kipeperushi cha baadhi ya vyama. Nina uhakika alikuwa analenga TBC japokuwa hajaitaja kwa jina. Ina maanisha kwamba Aweda hahitaji kutumia TBC hata siku moja? Je, kwa kuwa Mbowe na kamati kuu wamesema yeye ilikuwa inamhusu nini kuingia kwenye hoja ambazo hazimsaidii.
Kwa kweli, nilikuwa namheshimu sana Aweda kwenye mitandao na ktk vipindi vya ITV ambavyo mimi nimtazamaji mzuri lakini jana nilimwonea kama mwanampotevu.
Mwisho, Aweda nakushauri, najua JF unakuja kwa mara na thread yangu utaisoma, achana utoto. Vinginevyo siasa zitakushinda mapema kabisa mdogo wangu.
Mods msifute mada yangu, kwa sababu mimi sijui kama Mikael P Aweda huyo ni wa JF au La.

***** unawasha
 
Kama Great Thinker, hukutakiwa kuwa na jaziba juu yake iwapo umethibitisha pasi kuacha shaka kuwa hauitaja kwa jina kuwa ni TBC. Hivyo hisia zako ndo zilikupelekea kufikiri hivyo. Kwa ushauri wangu jipange upya, ondoa jaziba na umwombe msamaha then toa allegations zako juu yake ili aweze kukujibu. Vinginevyo hapo jibu lake ni dogo na ni moja tu "Sikutaja TBC"
Huu utetezi wenu wa kizamani na vile vimakofi walivyokuwa wanampigia wapambe mle ndani ndo mnazidi kumfanya ajione amefanya sawa. Kwani kuna TV gani nyingine imedaiwa kuibeba chama zaidi ya TBC?
 
Elimu yako uliipata sekondari ya Kata na Chuo Cha Kata?

Unajichanganya mwanzo mpaka mwisho.
1. Ni wapi aliitaja TBC?
2. Katika ufahamu wako, yeye ni mtu wa kwanza kuisifia ITV kwa kuweka vipindi kama vile 'kwa uwazi'? Kosa lake ni kumsifia dada Joyce?
3. Nadhani mada yako hii ungemshirikisha yule mzee anayeandikiaga MTANZANIA JUMAPILI, angekusaidia sana.
4. Umekerwa sana na Aweda kushiriki mijadala ya ITV ?Kwani anajialika mwenyewe? Si ungewauliza akina Deo, Fatma na Deo au Masako jinsi ya kushiriki aidha MALUMBANO YA HOJA au KIPIMA JOTO?

Una wivu sana wewe...
 
Mkuu unaonekana ni kibaraka kama hiyo tivii uliyoitaja,hata mimi nilimuona Aweda alipokuwa anachangia mada lakini hakuitaja ni tivii gani sasa wewe unakurupuka na kuanza kumshambulia inakuwaje?kajipange tena acha unazi wako.
 
Jana nilimsikiliza vizuri sana Aweda kwenye Malumbano ya hoja. Alizungumza vizuri sana kuliko wazungumzaji walio wengi. Lakini point yake ya pili kwa maoni yangu alipotea ramani kabisa na kujiharibia mwenyewe kabisa. Si sahihi yeye kuisifia ITV ambayo inamwalika karibu kila wiki mara malumbano ya hoja, mara kipima joto mara vipindi vipindi vingine halafu akapata ujasiri wa kitoto wa kuishambulia TBC kuwa ni kipeperushi cha baadhi ya vyama. Nina uhakika alikuwa analenga TBC japokuwa hajaitaja kwa jina. Ina maanisha kwamba Aweda hahitaji kutumia TBC hata siku moja? Je, kwa kuwa Mbowe na kamati kuu wamesema yeye ilikuwa inamhusu nini kuingia kwenye hoja ambazo hazimsaidii.
Kwa kweli, nilikuwa namheshimu sana Aweda kwenye mitandao na ktk vipindi vya ITV ambavyo mimi nimtazamaji mzuri lakini jana nilimwonea kama mwanampotevu.
Mwisho, Aweda nakushauri, najua JF unakuja kwa mara na thread yangu utaisoma, achana utoto. Vinginevyo siasa zitakushinda mapema kabisa mdogo wangu.
Mods msifute mada yangu, kwa sababu mimi sijui kama Mikael P Aweda huyo ni wa JF au La.
Mkuu mshauri huyo jamaa atafute jimbo la uchaguzi na kujipima mwenyewe.
Up...pu ukizidi huwa unatabia ya ku-overflow.
 
kwanini unaona kama ni kosa sana kwa TBC kushambuliwa? athari zake ni zipi? kuna - link yeyote kuwa mwanasiasa akiishambulia TBC atakufa kisiasa? mbona thread yako maswali ni mengi kuliko majibu? na wewe umetumwa na nani?
 
Huu utetezi wenu wa kizamani na vile vimakofi walivyokuwa wanampigia wapambe mle ndani ndo mnazidi kumfanya ajione amefanya sawa. Kwani kuna TV gani nyingine imedaiwa kuibeba chama zaidi ya TBCCM?
Tunashukuru kwa kumsaidia Aweda kama ndio yenyewe tushajua.....
 
Back
Top Bottom