Greater thinker
JF-Expert Member
- Sep 12, 2011
- 286
- 38
Unakuta lijitu linaweza kabisa kuongea kiswahili kizuri tu basi ukilikuta linaongea neno moja la pili kiingereza ,huu ni ushamba na ulimbukeni wa lugha za kigeni,hamjui kua mna kinajisi kiswahili?kama unaamua kuongea kingereza ongea kingereza moja kwa moja kana unaongea kiswahili ongea kiswahili moja kwa moja,hasa nyie ma dada fanya (sista do) na masharobaro,huo ni shamba unalikuta jitu limesoma
s/m tandale + bon'goa nikusweke sec likifika chuo tu linajifanya kuongea kiswahili halijui na mingine imekula daraja la 4 kidato cha nne nae pia hujiona msomi akichanganya kisw+kiing..kiingereza sio kigezo cha usomi kwa kuwa hadi chizi kenya anaongea kiingereza,siwakatazi kuongea kiingereza,ila msiwe mnachanganya na kisw,mnatuharibia lugha yetu aaaarrggh acheeeniii hzoooo yoo...
s/m tandale + bon'goa nikusweke sec likifika chuo tu linajifanya kuongea kiswahili halijui na mingine imekula daraja la 4 kidato cha nne nae pia hujiona msomi akichanganya kisw+kiing..kiingereza sio kigezo cha usomi kwa kuwa hadi chizi kenya anaongea kiingereza,siwakatazi kuongea kiingereza,ila msiwe mnachanganya na kisw,mnatuharibia lugha yetu aaaarrggh acheeeniii hzoooo yoo...