coby
JF-Expert Member
- Nov 28, 2008
- 342
- 39
Am very convinced that kijana aliyeshikwa na mihuri akaachiwa ni kutoka usalama wa taifa(UWT). Watu mnaweza kudhani ni mjinga flani kumbe mwenzenu ni mtu mkubwa sana na anatumiwa na UWT kuhakikisha Mahanga anatunisha msuli hapo Segerea. Kazeni buti wanaCHADEMA