Tumain
JF-Expert Member
- Jun 28, 2009
- 3,154
- 70
Hapo mkuu mie naona ni mambo ya imani kuna waislam wenye imani lkn muongozo wa kidini ndo sio mzuri..waislam wanafundishwa toka utotoni kuwa rafiki yako ni muislam tu so kuuponda ukristo ni jadi na iko katika kurhan yao...je ulishagasikia mkristo amejiripua au kujitoa muhanga?
Waislamu ni marafiki kwa wakristo ila wakristo ndio hawawapendi waislamu wanafundishwa kanisani kuwatukana, dharau etc...waislamu wangekuwa si wavumilivu tanzania kungewaka moto...
Ndio nimeshasikia wakristo wanaojilipua hapo uganda kuna LRA na Ireland wamelipuana wakatoliki na waprostanti kwa miaka 30 ...in fact hii tactic ya kulipua imetoka kwa wakristo na tamil tiger wa srilanka ambao wote ni wakrito soma historia