Nadhani hiyo ni mitaa ya magomeni na manzese si ndiyo? na hao ni waislam wanachambua the holy BIBLE. That is lack of confidence.
Hata huku tabata wapo. jamaa wana makelele kweli mpaka wanaudhi.
Mitaa ya kunduchi mtongani wapo wengi tu...
wapo kila kona ya jiji, nafikiri masaki na oysterbay ndo hawapo hao. Wanaacha kuwahubiria waumini wao wapate kuwa watu wema zaidi; wao wanajisumbua tuu! makelele. Hawa majirani zetu sijui vipi
Kitunda-Shule pia wapo hawa!
Wakuu,Hata huku kwetu kijijini wapo lakini hawapati watu kwenye mihadhara yao wanakuwa wenyewe na vipaza sauti vyao.
wote waongo tu hao, hamna mungu wala dini kwenye hivi vitabu.dini ya kweli ni dini ya kutokuwa na dini na kufanya mema kwa ajili ya kufanya mema.
Hivi mihadhara ya kidini imeruhusiwa tena?
Jibu: Ilikatazwa lini? na sheria ipi?
Huku mtaani kwetu kwa muda wa wiki nzima sasa kumekuwa na mihadhara inayoendeshwa kila siku jioni na waumini wa dini moja wakichambua kitabu cha dini nyingine.
Jibu: una wasiwasi na kitabu chako kuchambuliwa..umekuwa nahofu kama nini?
Bibilia ni jibu wako mpaka leo..wanashirikiana na Mtikila, na wenzake..wengi wameokolewa kutoka kwenye upofu wa ukristo kwa mihadhara hii mungu awajaalie afya njema..Miaka ya tisini kulikuwa na kikundi cha mihadhara cha BIBLIA NI JIBU, sijui kama bado wapo au la! Walipoanza mihadhara Boko Haram kama kawaida yao walikuja juu sana na kuna wakati walianza kurusha mawe! Kama unakaa kwenye nyumba ya vioo ujiepushe kurusha mawe! Hiyo Quran yenyewe ikichambuliwa inaonekana bomu hata kuliko magazeti ya udaku!
Pole mkuu ubungoubungo, nadhani unakubaliana pia kuwa Isaka alizaliwa kutokana na Ibarhimu kumuoa dadake wa baba mmoja (kwa mujibu wa bibilia)... sasa sijui kwa style hii unafurahia pia au ili ulitaki?hiyo ni ya hawa watoto wa housegirl ishmael, yaani waislam. unajua, wanapata shida sana,dini yao haieleweki, na hiyo ndiyo mikutano yao ya unjili..hahaha. waacheni wafanye wanachofanya tu. unajua wanavyozidi kufanya hivyo, ndivyo wanavyoianika vizuri dini yao ya ajabu. wanafikiri wanaunguzia mtu kitu kumbe wanaunguza na inakula kwao. unaweza ukacheka hadi ukachoka, watu wanapoteza muda kuongea mambo wasiyoyajua kuhusu Bible. wanahangaika, hawana confidence, ndio maana wakiona Jina la Yesu Kristo wa Nazareth limetajwa, wanakimbia, wanalipuka mapepo. wafuga majini hawa wana shida kweli.