SHINYAKA
Member
- Oct 6, 2010
- 74
- 39
Ma-Doctor wa JF, naja kwenu nachechemea, tafadhali nipeni fafanunuzi kinachonisibu ni nini?
Dalili zinisumbuazo ni hizi:-
1. ngozi ya Miguu inauma kwa mtindo wa kuwasha, kuanzia magotini hadi makanyagioni hasa ukivaa suluari ikawa inagusagusa unapotembea.
2. Wakati ukioga jioni, ukiimwagia maji hiyo miguu, huja hali ya kuwasha ndipo hamu ya kukuna inapokuja, utataka kukuna bila kuacha.
3. Usiku ukiwa kitandani hali ya maumivu ya kuwasha huzidi kidogo, utaendelea kujikuna baadae hutoa alama za uvimbe kutokana na kukuna.
TAFADHARI NISAIDIENI NATESEKA
Dalili zinisumbuazo ni hizi:-
1. ngozi ya Miguu inauma kwa mtindo wa kuwasha, kuanzia magotini hadi makanyagioni hasa ukivaa suluari ikawa inagusagusa unapotembea.
2. Wakati ukioga jioni, ukiimwagia maji hiyo miguu, huja hali ya kuwasha ndipo hamu ya kukuna inapokuja, utataka kukuna bila kuacha.
3. Usiku ukiwa kitandani hali ya maumivu ya kuwasha huzidi kidogo, utaendelea kujikuna baadae hutoa alama za uvimbe kutokana na kukuna.
TAFADHARI NISAIDIENI NATESEKA