OK, I am sorry,nimekuelewa.lol
sio hivyo tall..................kama huna kabisa ni suala jengine, lakini wengine wanayo ila shape tu ndo mgogoro. sasa hawa waweza fanya mazowezi kurekebisha shape .....umenielewa sijui!
OK, I am sorry,nimekuelewa.lol
sio hivyo tall..................kama huna kabisa ni suala jengine, lakini wengine wanayo ila shape tu ndo mgogoro. sasa hawa waweza fanya mazowezi kurekebisha shape .....umenielewa sijui!
ahsante kwa kunipa hope tatizo my husband wangu kila akiona mwanamke mwenye miguu ya bia lazima ataangalia na kusifia
Charity hebu tuambie utambadilisha vipi mwanaume kama huyo....BELIEVE ME!Unachohitaji wewe ni kumbadilisha mumeo aone jinsi ulivyo mzuri na miguu yako ya SPOKO na sio kujibadilisha wewe uwe na miguu ya chupa ya bia.Nakuhakikishia haitakusaidia kamwe kwani mara utakapokuwa na miguu ya bia ataichoka na ataanza kuwaangalia na kuwasifia wanawake wenye mikono ya chupa ya bia.BADILISHA MOYO WA MUMEO UJE KWAKO DADA.
Charity hebu tuambie utambadilisha vipi mwanaume kama huyo....
Hivi miguu ina raha gani kwa wanaume? (just thinking loudly...)
Tumia za kichina lakini kuwa makini usizidishe ukizidisha radha utapoteza.
5.Nitajaribu kumshawishi ahudhirie semina za Wanaume hasa za kanisani walau kila mwezi ili kutengenezaAWARENESS kuhusu umuhimu wangu kwake kama mkewe na kupata mafundisho sahihi kutoka kwa wanaume wenzie
whats so fun about those legs ? kwanini mwanaume atamani miguu ya hivyo?....Kimey unatafuta ugomvi na watu humu!!
Charity thanks it looks like u r an optimistic person and somehow innocent ...... lakni ni ngumu sana kumbadilisha mwanaume kama huyu.... mie sioni kosa la huyu dada... mwanaume ndo anakosa..eti akiona miguu ya bia lazima ataangalia na kusifia? the world has gone crazy...Nitatumia njia zifuatazo;1.Nitafunga na kumuomba Mungu ambadilishe moyo wake uache kutamani vitu ambavyo ni material(kama miguuya chupa ya bian.k)2.Nitafanya utafiti alinipendea nini wakati ananioa wakati tupo wachumba(kama nimesahau au sijui) ili niweze kukiboresha kwa kuwa inawezekana kile kitu kimetoweka kutokana na kujisahau kwangu.3.Nitajitafiti kama ninatimiza majukumu yangu sawasawa? kama usafi,kujiremba,upendo n.k4.Nitajichunguza kama ninafanya INNOVATION/ubunifu mpya katika ndoa/mahusiano ili kwenda na wakati.5.Nitajaribu kumshawishi ahudhirie semina za Wanaume hasa za kanisani walau kila mwezi ili kutengenezaAWARENESS kuhusu umuhimu wangu kwake kama mkewe na kupata mafundisho sahihi kutoka kwa wanaume wenzie6.......7......8..........9. Nitazidi kumpenda na kumuonyesha namthamini na yeye ndio chaguo langu.10...........
whats so fun about those legs ? kwanini mwanaume atamani miguu ya hivyo?....
Pole Kobonde, kumbe wapenda miguu wewe!.Naomba ushauri kwa yeyote mwenye idea ya namna ya kuifanya miguu iwe ya bia au inenepe lkn sio kigimbi
fanya zoezi la kunyanyua mwili kwa ncha za miguu..mara mia kila siku kwa miezi sita.utaona mabadiliko