harakat
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 2,888
- 1,347
Kila kukicha utasikia mara UDSM ,Mara Makumira ,Mara CDM
TUNATAKA KULALA VIWANJANI VYOTE HIVI VINAISHIA KATI
SASA INABIDI TUJIANDAE KWA MECHI ITAKAYO LETA MSHINDI SIO
TUNAISHIA KATI BANA AHAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
ANGALIA NA HIKI HAPA TENA
hapa nipo pande za udsm, ni vurugu tupu, nim,efika na nimekuta
wanafunzi wanakimbia huku na huko, nilipo pita karibu na kikundi
fulani cha wanafunzi nikasikia wakisema kuna mtu mmoja wa
usalama wa taifa amekamatwa na wanafunzi wamempiga na wakawa
wameendelea kumshikilia, kitendo hicho kimepelekea polisi kuja
kumuokoa mwenzao.
nilipo wauliza wanafunzi kwa nini wanakimbia?
wakajibu kuwa wanaogopa kukamatwa na polisi.
TUNATAKA KULALA VIWANJANI VYOTE HIVI VINAISHIA KATI
SASA INABIDI TUJIANDAE KWA MECHI ITAKAYO LETA MSHINDI SIO
TUNAISHIA KATI BANA AHAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
ANGALIA NA HIKI HAPA TENA
hapa nipo pande za udsm, ni vurugu tupu, nim,efika na nimekuta
wanafunzi wanakimbia huku na huko, nilipo pita karibu na kikundi
fulani cha wanafunzi nikasikia wakisema kuna mtu mmoja wa
usalama wa taifa amekamatwa na wanafunzi wamempiga na wakawa
wameendelea kumshikilia, kitendo hicho kimepelekea polisi kuja
kumuokoa mwenzao.
nilipo wauliza wanafunzi kwa nini wanakimbia?
wakajibu kuwa wanaogopa kukamatwa na polisi.