Migomo

mashambani kwao

JF-Expert Member
Dec 5, 2011
370
56
Wakuu nimekuwa nikifuatilia migomo ya watumishi mbalimbali hapa nchini,sasa naomba kuuliza wakati waalimu wa shule ya msingi,sekondari wanagoma mbona waalimu wa vyuo hawatoi support kwa walimu wenzao?kuna ubaguzi gani?naomba kujifunza kwenu asante.
 
Wakuu nimekuwa nikifuatilia migomo ya watumishi mbalimbali hapa nchini,sasa naomba kuuliza wakati waalimu wa shule ya msingi,sekondari wanagoma mbona waalimu wa vyuo hawatoi support kwa walimu wenzao?kuna ubaguzi gani?naomba kujifunza kwenu asante.

mshahara figure 7, akifundisha kipindi buku 50, akisahisha mitihani script moja elfu 5... Sijataja haya maproject ya serikali wanayofanya kila uchao... Wana vipindi vya nje ya vyuo wanavyofundisha.
Hapo akigoma si atakuwa mzandiki?
 
Mbona tunawaita walimu huku chuo? Ni walimu haijalishi chuo ama nasari. Napita mida hapo chini nawahi kijiwe cha kahawa.....
 
Back
Top Bottom