Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,822
Viongozi wetu wanashangaza sana kwa kweli!Mtu unamwambia alipe asilimia 40!yaani ni hohehahe wa kutupwa nauli yenyewe yakuja Dar kachangiwa na kijiji!Ingekuwa ni nchi inayotoa fursa kwa mfano kungekuwa na student jobs yaani mtu unaweza ukafanya kazi na kujikakamua kulipa hiyo asilimia 40 hapo ningesema wanafunzi hawana sababu ya kugoma!Ila kwa hali hii ya sasa viongozi wanachemsha sana sasa tutawekezaje kwenye elimu kama mambo yenyewe ndo haya?
Ndo ushangae sasa First lady,,, na sio kwamba hwajai wanajua sana ila ndo ivo wakishatamalaki kwenye mshangingi yao, haya mambo mengine wanayaona madogo madogo
mapambano yanaendelea na ipo siku kitaeleweka tu....si umesikia huko mashariki ya mbali wanafunzi wa chuo kikuu walishamwondosha raisi madarakani?