Migomo inayoendelea inasababishwa na sisi wananchi

lijumbete

Member
Jan 22, 2011
52
10
Tumeshuhudia hivi vitu na sisi ndo tunaumia,, tunaandika maneno ya hasira humu bila kuchukua hatua! Wataalam walitakiwa waendelee na kazi zao lakini sio wenyewe ndo wadai vifaa,dawa,posho na mishahara, mazingira ya kazi kuboreshwa ile hali sisi wananchi wa kawaida ndio tuna wajibu wa kuiwajibisha serikali. Ujue nini mimi naamini sasa neno la mnyika tuitwe watanzania wote. Tumeshindwa kuchukua hatua na tumekuwa watu wa kujaza post za kutoa pole na kutukanaa bila kuonesha way forward kwenye matatizo! Ili page isiwe kijiwe tuanzishe utaratibu tatizo likitokea we focus kwenye wayforward sio kuelezea tukio tenaa kama kuna watu wamezaliwa leo na wameanza kutumia mitandao. Hali ya hospitali zetu sio nzuriii especially MNH tunafanyaje, ulimboka kapigwa nusu kufa tunafanyaje, mgomo umetokea tunatoa solutions na sio kuanza ku narrate story.....
 
Tumeshuhudia hivi vitu na sisi ndo tunaumia,, tunaandika maneno ya hasira humu bila kuchukua hatua! Wataalam walitakiwa waendelee na kazi zao lakini sio wenyewe ndo wadai vifaa,dawa,posho na mishahara, mazingira ya kazi kuboreshwa ile hali sisi wananchi wa kawaida ndio tuna wajibu wa kuiwajibisha serikali. Ujue nini mimi naamini sasa neno la mnyika tuitwe watanzania wote. Tumeshindwa kuchukua hatua na tumekuwa watu wa kujaza post za kutoa pole na kutukanaa bila kuonesha way forward kwenye matatizo! Ili page isiwe kijiwe tuanzishe utaratibu tatizo likitokea we focus kwenye wayforward sio kuelezea tukio tenaa kama kuna watu wamezaliwa leo na wameanza kutumia mitandao. Hali ya hospitali zetu sio nzuriii especially MNH tunafanyaje, ulimboka kapigwa nusu kufa tunafanyaje, mgomo umetokea tunatoa solutions na sio kuanza ku narrate story.....
Mkuu Hii Dozi nimeikubali. Binafsi nakupa Likes 20.
 
Lijumbete na Wana JF,
Nakuunga Mkono na mikono kwa 110%.
Tanzania itajengwa na Watanzania aka Wananchi wa Tanzania.
Wananchi ndio wenye Nchi, Wananchi ndio wenye mamlaka ya kuchagua Kiongozi au Viongozi wanaowapenda au kuwachagua.
My Take: Tusitegemeee Miujiza kuwa siku moja Tanzania itakuja kujengwa na Wageni, Wahisani, Watu kutoka nje ya Tanzania. Mungu Ibariki Tanzania, Mungu Ibariki Watanzania.
Nawakilisha.





Tumeshuhudia hivi vitu na sisi ndo tunaumia,, tunaandika maneno ya hasira humu bila kuchukua hatua! Wataalam walitakiwa waendelee na kazi zao lakini sio wenyewe ndo wadai vifaa,dawa,posho na mishahara, mazingira ya kazi kuboreshwa ile hali sisi wananchi wa kawaida ndio tuna wajibu wa kuiwajibisha serikali. Ujue nini mimi naamini sasa neno la mnyika tuitwe watanzania wote. Tumeshindwa kuchukua hatua na tumekuwa watu wa kujaza post za kutoa pole na kutukanaa bila kuonesha way forward kwenye matatizo! Ili page isiwe kijiwe tuanzishe utaratibu tatizo likitokea we focus kwenye wayforward sio kuelezea tukio tenaa kama kuna watu wamezaliwa leo na wameanza kutumia mitandao. Hali ya hospitali zetu sio nzuriii especially MNH tunafanyaje, ulimboka kapigwa nusu kufa tunafanyaje, mgomo umetokea tunatoa solutions na sio kuanza ku narrate story.....
 
Well said naunga hoja mkono kwa 200% sio kama wale magamba ila kwa mchango mzuri
 
Tumeshuhudia hivi vitu na sisi ndo tunaumia,, tunaandika maneno ya hasira humu bila kuchukua hatua! Wataalam walitakiwa waendelee na kazi zao lakini sio wenyewe ndo wadai vifaa,dawa,posho na mishahara, mazingira ya kazi kuboreshwa ile hali sisi wananchi wa kawaida ndio tuna wajibu wa kuiwajibisha serikali. Ujue nini mimi naamini sasa neno la mnyika tuitwe watanzania wote. Tumeshindwa kuchukua hatua na tumekuwa watu wa kujaza post za kutoa pole na kutukanaa bila kuonesha way forward kwenye matatizo! Ili page isiwe kijiwe tuanzishe utaratibu tatizo likitokea we focus kwenye wayforward sio kuelezea tukio tenaa kama kuna watu wamezaliwa leo na wameanza kutumia mitandao. Hali ya hospitali zetu sio nzuriii especially MNH tunafanyaje, ulimboka kapigwa nusu kufa tunafanyaje, mgomo umetokea tunatoa solutions na sio kuanza ku narrate story.....

....mmhh,hili nalo neno!ss tunaanzia wapi?ndo suala
 
Tumeshuhudia hivi vitu na sisi ndo tunaumia,, tunaandika maneno ya hasira humu bila kuchukua hatua! Wataalam walitakiwa waendelee na kazi zao lakini sio wenyewe ndo wadai vifaa,dawa,posho na mishahara, mazingira ya kazi kuboreshwa ile hali sisi wananchi wa kawaida ndio tuna wajibu wa kuiwajibisha serikali. Ujue nini mimi naamini sasa neno la mnyika tuitwe watanzania wote. Tumeshindwa kuchukua hatua na tumekuwa watu wa kujaza post za kutoa pole na kutukanaa bila kuonesha way forward kwenye matatizo! Ili page isiwe kijiwe tuanzishe utaratibu tatizo likitokea we focus kwenye wayforward sio kuelezea tukio tenaa kama kuna watu wamezaliwa leo na wameanza kutumia mitandao. Hali ya hospitali zetu sio nzuriii especially MNH tunafanyaje, ulimboka kapigwa nusu kufa tunafanyaje, mgomo umetokea tunatoa solutions na sio kuanza ku narrate story.....

gud idea mkuu mi nakuunga mkono,,,,tuanze na ww nn wayfoward???
 
Uko sahihi maneno matupu hayatatusaidia chochote,serekali ya ccm imelala na kwa sasa inakoroma..inabidi iamshwe kwa fimbo na si kwa maneno
 
Tatizo tunaingiza siasa kwenye masuala ya muhimu,katika hili tukiingiza u-ccm,u-cdm n.k kamwe ufumbuzi sifuri.cha msingi tuache wataalam wenyewe watatue suala hili kwa wenzao ambao sio wataalamu.Sisi pia tunao wajibu kutoa michango yetu
kwa kuangaria pande zote kwa maana ya serikali,madaktari,wananchi na wadau mbalix2 .Na ifike mahala tujiulize maswali kadhaa
mfano:
  1. AFYA YAKO/YANGU/YETU NI JUKUMU LA NANI?
  2. IPO HAJA YA KUIPATA BURE AU KUCHANGIA?
  3. NIICHANGIE KWENYE HSPT/ZAHANATI YA NANI?
  4. KWA NINI BURE AU NIICHANGIE?
  5. VIFAA VINATUMIKA KWELI KWENYE HIZO HSPT ZA SERIKARI AU?
  6. INAKUWAJE HAVITUMIKI?
  7. HIVI KUNA MFUKO WOWOTE AU ASASI ZA KIJAMII,MASHIRIKA NA WATU BINAFSI KUJITOLEA KUSAIDIA HILI?
  8. HIVI MWAJILI MKUU (SERIKALI) AMEWEKA KITU CHA KUDHIBITI MUDA WA KAZI AU KUNA UTARATIBU GANI MAHSUSI WA KUPIMA KIPIMO CHA KAZI?
 
Back
Top Bottom