Kama ndo anataka kugombea urais asahau hilo!! Kila mtu anatolea macho hiyo chance from lowassa to sitta etc...
atawekwa na aliyeko madarakani
Kama ndo anataka kugombea urais asahau hilo!! Kila mtu anatolea macho hiyo chance from lowassa to sitta etc...
Hivi Rose Migiro ana Mume ?.
Sijawahi sikia jk kaenda marekani na mkewe i.e. unganisheni dot.....
Anaye, mme wake ni lecturer UDSM kama sijakosea
Anaye, mme wake ni lecturer UDSM kama sijakosea
Hivi Rose Migiro ana Mume ?.
Kqshindwa kucope na speed ya BabKi moon; mkorea yule balaa mama alifanya business as usual ndio maana kaomba na kakosa tena; mama you have proved a failure maana angekuwa performer angeendela nae; lakini kaonekana mzigo maan muda mwingi yuko huku kuja kutuonyesha yuko UN. Anyway karibu but binafsi sijapenda ulivyo tuprove we cannot perform
hata mimi mwanzo nilivyoona nilijua wamama wataweza kutukomboa kutokana upungufu wa viongozi wanaume lakini wao kumbe hakuna jipya spika anne makinda hamna kitu, Blandina nyoni mhimbili madudu.Hata mm nitafurahi...mfumo dume
Kqshindwa kucope na speed ya BabKi moon; mkorea yule balaa mama alifanya business as usual ndio maana kaomba na kakosa tena; mama you have proved a failure maana angekuwa performer angeendela nae; lakini kaonekana mzigo maan muda mwingi yuko huku kuja kutuonyesha yuko UN. Anyway karibu but binafsi sijapenda ulivyo tuprove we cannot perform
Una uhakika na lipi, kuwa na mume au kazi ya mume?
Mkuu hawa wanawake wasomi pasua kichwa sana..
Angalia mheshimiwa nanihiii anavyokosa amani kifamilia..
ana mume,ni prof MiGIRo
Mmmhh ngongo umeniwahi na mimi nlitaka kuuliza kama anae!
yeah,
prof Migiro
Anaye, mme wake ni lecturer UDSM kama sijakosea
Taarifa toka chanzo cha uhakika Prof Migiro alishaachana na Dr Asha Rose Migiro.
Kwa kuwa JK na waislam ni kama kidole na pete, atamsaidia katika harakati za kuingia ikulu
So sad if its true !
kqshindwa kucope na speed ya babki moon; mkorea yule balaa mama alifanya business as usual ndio maana kaomba na kakosa tena; mama you have proved a failure maana angekuwa performer angeendela nae; lakini kaonekana mzigo maan muda mwingi yuko huku kuja kutuonyesha yuko un. Anyway karibu but binafsi sijapenda ulivyo tuprove we cannot perform