Migiro leaves UN post; forced out or chose to leave?

watu wanasema ni yaleyale ya professor Muhogo mchungu...
sijui ni sahihi hilo jina !
kashfa ni kwa wale tu wasiotuunga mkono..
kwani ya Mkapa nayo madogo ?
hapa kazi tu.
 
Tumesikia Kenya ilivyochukua hatua za haraka baada ya katibu mkuu wa umoja wa mataifa Ban Ki Moon kumfuta kazi Luteni Kanali Johnson Mogoa Kimani Ondieki. Sasa imepita zaidi ya miaka 4 tangu katibu mkuu Ban Ki Moon amfute kazi Dr. Asha Rose Migiro lakini serikali ya JK na hii ya JPM hazijachukua hatua yoyote kama walivyofanya majirani zetu Kenya. Kukaa kimya kunatufanya watanzania tujiulize hivi Dr. Asha Rose Migiro alikuwa na uwezo mdogo na alifanya makosa ambayo ilikuwa ni vigumu kwa serikali ya Tanzania kumtetea.

Kama hatua zingine zinavyochukuliwa tunaomba serikali ya Tanzania ichukue hatua na kama imeshindwa itoe TAMKO ili tujue kama alionewa au alikuwa na uwezo mdogo kiasi ambacho ni aibu kumtetea
 
Tumesikia Kenya ilivyochukua hatua za haraka baada ya katibu mkuu wa umoja wa mataifa Ban Ki Moon kumfuta kazi Luteni Kanali Johnson Mogoa Kimani Ondieki. Sasa imepita zaidi ya miaka 4 tangu katibu mkuu Ban Ki Moon amfute kazi Dr. Asha Rose Migiro lakini serikali ya JK na hii ya JPM hazijachukua hatua yoyote kama walivyofanya majirani zetu Kenya. Kukaa kimya kunatufanya watanzania tujiulize hivi Dr. Asha Rose Migiro alikuwa na uwezo mdogo na alifanya makosa ambayo ilikuwa ni vigumu kwa serikali ya Tanzania kumtetea.

Kama hatua zingine zinavyochukuliwa tunaomba serikali ya Tanzania ichukue hatua na kama imeshindwa itoe TAMKO ili tujue kama alionewa au alikuwa na uwezo mdogo kiasi ambacho ni aibu kumtetea


Kwa nini imekuchukuwa Miaka yote hiyo kuja na pendekezo kama hilo? Kwa nini usingetoa hili pendekezo punde tu tukio lilipotokea?
 
Tumesikia Kenya ilivyochukua hatua za haraka baada ya katibu mkuu wa umoja wa mataifa Ban Ki Moon kumfuta kazi Luteni Kanali Johnson Mogoa Kimani Ondieki. Sasa imepita zaidi ya miaka 4 tangu katibu mkuu Ban Ki Moon amfute kazi Dr. Asha Rose Migiro lakini serikali ya JK na hii ya JPM hazijachukua hatua yoyote kama walivyofanya majirani zetu Kenya. Kukaa kimya kunatufanya watanzania tujiulize hivi Dr. Asha Rose Migiro alikuwa na uwezo mdogo na alifanya makosa ambayo ilikuwa ni vigumu kwa serikali ya Tanzania kumtetea.

Kama hatua zingine zinavyochukuliwa tunaomba serikali ya Tanzania ichukue hatua na kama imeshindwa itoe TAMKO ili tujue kama alionewa au alikuwa na uwezo mdogo kiasi ambacho ni aibu kumtetea
Jaribu kuchambua maada yako kwa kina! Hatua zipi kenya ilizochukua? Then Toa sababu za msingi za serikali kutoa tamko juu ya Rose migiro.
 
Dr Migiro hakufukuzwa kazi, alimaliza mkataba wake na UN. Na hata Ban ki Moon naye anamaliza mkataba wake. Hakuna kazi permanent UN. Unapewa contact, ikiisha unaweza ongeza. Au usiongezewe kutokana na performance yako.
 
Tumesikia Kenya ilivyochukua hatua za haraka baada ya katibu mkuu wa umoja wa mataifa Ban Ki Moon kumfuta kazi Luteni Kanali Johnson Mogoa Kimani Ondieki. Sasa imepita zaidi ya miaka 4 tangu katibu mkuu Ban Ki Moon amfute kazi Dr. Asha Rose Migiro lakini serikali ya JK na hii ya JPM hazijachukua hatua yoyote kama walivyofanya majirani zetu Kenya. Kukaa kimya kunatufanya watanzania tujiulize hivi Dr. Asha Rose Migiro alikuwa na uwezo mdogo na alifanya makosa ambayo ilikuwa ni vigumu kwa serikali ya Tanzania kumtetea.

Kama hatua zingine zinavyochukuliwa tunaomba serikali ya Tanzania ichukue hatua na kama imeshindwa itoe TAMKO ili tujue kama alionewa au alikuwa na uwezo mdogo kiasi ambacho ni aibu kumtetea
Diplomatic inalinda kile alichofanya, sio vyote huwekwa hadharani kwa mujibu wa UN
 
Kutoa tamko jinsi alivyo tendewa Migiro nayo ni kazi ya kutusaidia wananchi?serekali ikitoa tamko wananchi itatusaidia nini?wakati uwepo wa Migiro umoja wa mataifa ilikuwa ni faida yake mwenyewe na familia yake,watanzania hatukupata hata senti ya kutusaidia kutupunguzia hata deni la MCD zaidi ya sifa ya mtanzania mwenzetu kuwa umoja wa mataifa.
 
Kwa nini imekuchukuwa Miaka yote hiyo kuja na pendekezo kama hilo? Kwa nini usingetoa hili pendekezo punde tu tukio lilipotokea?
mbona bunge lilitoa mapendekezo ya wote waliochukua pesa za escrow kukamatwa na hakuna lolote lililofanyika kuwakamata.
 
Kuweka kumbukumbu sahihi

1. Asha Rose Migiro alifanya kazi kama deputy secretary general kwa kipindi kimoja, kuanzia january 2007 mpaka june 2012.

2. Asha Rose Migiro hakuwahi kufukuzwa UN.

3.Kuhusu hili la kenya kuna, mauaji yalitokea Juba july 8 na 11 mwaka 2016, vikosi vya UN vilikuwepo eneo la tukio, ila havikufanya lolote kuasidia raia. Tume iliundwa kufanya uchunguzi na kungundua kikosi kilicho kuwepo Juba tarehe za mauaji kilikuwa kinatoka kenya kiki ongozwa na Lt General Johnson Kimani Ondieki.......................................

Nadhani yaliyo fuata unaya fahamu
 
Kwa nini hakuongezewa!!!!????

itakuwa alipwaya kwenye hiyo nafasi kutokana na kukosa uzoefu wa kuongoza katika level za chini

hyu mama kapigisha mapindi sana UDSM ,Law. Mara mbunge wa kuteuliwa,mara waziri,mtukatema mate ,hata hayajakauka,kaambiwa akwe msaidizi wa Ban-Ki Moon. Kuna leadership skills atakuwa hanazo.

Uwezo wa kujieleza anao kwa sababu ya confidence ya kufundisha sheria muda mrefu ila leadership hapana aisee.
 
Back
Top Bottom