Migiro Kuigharimu Tanzania

Uongo mwingine, eti anangojwa ndio baraza la mawaziri lichaguliwe. Hivi lini mtapata akili?
 
Kashindwa kwa ban.k.moon. kwa tz eti anafaa. mi napenda wanaokula halafu hawasahau hata ukizeeka.
 
Migiro ni Low perfomer, hili ni wazi.
Lakini JK amewazoesha mawaziri na watendaji wake uvivu na kutokuwepo ofisini!:
1.Wassira atakuwa anamaliza mwezi nje ya ofisi akiwa ameacha majukumu ya kiwaziri, sasa anapiga debe la ubunge, ambako anachofanya ni kuongea uwongo mwanzo mwisho, na JK anasikia na kufurahia tu!
2.Nasikia Nape ni Mkuu wa Wilaya fulani huko kusini mwa nchi yangu!...Nadhani tangu ateuliwe hajapata kanyaga ofisini kwake!
Sasa tutegemee atamwachaje Migiro kwa nafasi za juu, wakati ananukia U-merikani-Merikani!...cheo atampa, whether ataperfom hiyo sio ishu kwa JK!
We are doomed!
 
  • Thanks
Reactions: Tom
Kwa kumtathimini Migiro ni sawa na yeyote yule katika uongozi huu mbovu wa 2005-2015,hana jipya na sitegemei chochote ama awepo ama hasiwepo katika uongozi huu

Nadhani ijapokuwa hajadeliver,Tibaijuka is better make hata huko habitat kidogo aliweza kukaa na atleast aliweza kuonesha uwezo na hata kiviwango she is credible tofauti na huyu ambaye alipelekwa kimizengwe na vivyo hivyo amepigwa chini kimizengwe,kwahyo kimantiki Migiro huo uwezo mnaomtwisha hana na wala she cant hold the water...tusubiri tuone!
 
Leaving such a rare experienced, erudite diplomat out of ministers cabinet is simply an irrational decision. Consequently, I am in favour of JK's plans to include the woman into his own 'timu ya kazi', though I am completely against those tipping her for presidency.

There is no such a thing as 'rare experienced' !!! Her performance is questionable on the basis that she has been denied a second term with UN. Even if she becomes a minister or whatever position, expect no wonders from her. There is a system which she can not go against. This is a corrupt sytem from top -bottom. She will follow suit!!!!! A good example is Prof Tibaijuka, she has never exclaimed any open space grabed by the HAVES as she promised when she took the office!!1 and many others
 
Anasubiriwa Migiro yupi wakati tayari aliishawasili huko huwa anaenda mara moja moja tu kufanya handing over.
 
Watu wenye uzoefu kama huu ndo wana uzoefu pia wa kuiibia nchi kuliko wale ambao hawana diplomatic experience ya kutosha. Kuna experienced diplomat kama Salim A Salim hapa nchini? Ni waziri wa nini yeye? Tuache kuamini kwamba nchi inaweza kwanda wakiwemo tu akina fulani wakati nchi ina wakaazi zaidi ya 40 milioni? Hivi unawezaje kunambia kwamba kati ya hawa wote hakuna mwenye uwezo kama wa Migiro? Haya ni matatizo ya kuthink within the box ya JK, hawatumii TISS wake kutathimini watu wanaofaa kuwa viongozi, badala yake anafikiria zaidi ulipaji wa fadhila na kujuana.
Hao TISS Anawatumia sana LKN ndiyo wapika majungu na kupeleka uongo pale wanaposhindwa kupata ukweli kwasababu wametumia tayari fedha za kufuatilia.
 
Inabidi agombee Ubunge kwanza, maana nafasi za wabunge wa kuteuliwa na Rais zimeshajaa. Inabidi auwahi uchaguzi mdogo jimbo la Segerea kama atapita.
 
Source: Inner City Press: Investigative Reporting from the United Nations, U.N. Officials Reluctant To Disclose Financial Relationships And Assets, Putting Spotlight On Ethics | Fox News, maoni binafsi na vyanzo visivyo rasmi.

Jitihada kubwa zilifanywa na Migiro binafsi na pia kuwatumia African Group of Nations kujaribu kuhakikisha Ban Ki Moon anabadilisha uamuzi wake wa kumtosa UN, lakini hilo halikusaidia kitu. Ban alishikilia uamuzi wake wa kuunda aliyoita 'timu ya kazi'. Sababu hazijawekwa wazi, lakini kama alivyobainisha Ban kuwa anataka ufanisi, ni wazi kuwa kulikuwa hakuna ufanisi.

Tayari ameshamteua mwanadiplomasia Jan Eliasson, raia wa Sweden, kuchukua nafasi hiyo ya Migiro. Migiro kwa mujibu wa mkataba wake, ataondoka rasmi UN mwezi Jun, 2012.

Hapa nyumbani, Tanzania kuna habari kutoka kwa insiders wa ikulu kuwa mabadiliko ya Baraza la Mawaziri yanasubiri kurudi kwa Migiro.

Maisha ya Watanzania yameendelea kuwekwa rehani kwa sababu ya mtu mmoja. Kuna matatizo makubwa Wizara ya Afya, Wizara ya Nishati na Madini nk, Mawaziri wengi hawapo ofisini kwa sababu za kiafya na wengine wameonyesha kushindwa, na baadhi wana kashfa. Lakini kwa sababu ya mtu mmoja, hakuna mabadiliko ya cabinet hadi atakapokamilisha mkataba wake UN na kurudi TZ ili naye apangiwe Wizara katika mabadiliko hayo.

Matatizo mengi ambayo nchi inapitia leo yanasababishwa na malengo ya 2015.

Huwa napata shida kuwaelewa watu wanaotaka mabadiliko ya mawaziri. Hivi mnafikiri kwa mfumo huu wa ccm linaweza patikana baraza zuri la mawaziri? Hata akibadili mawaziri sidhani kama itasaidia chochote zaidi ya kuingiza serikali kstika gharama na matumizi yasiyo ya lazima.
 
Inabidi agombee Ubunge kwanza, maana nafasi za wabunge wa kuteuliwa na Rais zimeshajaa. Inabidi auwahi uchaguzi mdogo jimbo la Segerea kama atapita.
h
hazijajaa bado sita au nane ,so far meghji,nahodha,mnyaaa
 
Yaani kweli kuna watu wanaochoka kufikri...awe waziri kwani yeye ni mbunge? au mabadiliko ya katiba huko Tanzania tayari? Labda kama ni kuwa mkurugenzi kama walivyozoea. Ila nadhani ana haja ya kupumzika maana keshakuwa mzee tayari wala hana mashiko na mikikimikiki ya TZ
 
Back
Top Bottom