Mtumishi Wetu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 5,712
- 1,906
huyu mama angekua mchapa kazi basi angekaa term hii nzima ya pili ya ki-moon inaelekea kazi zilimshinda huko na hii siasa ya ccm na kina lowassa huyu mama hataiweza watamrushia sumu akimbie..bora ajifungie huko mlimani
Wanaweza kumwakyembe anatakiwa kuwa makini vinginevyo aachane na siasa!!!!