. Wauza matunda , wenye maduka,mabucha na karibu kila biashara mifuko ya plastiki inatumika. Mifuko hii ambayo haiozi inaharibu ardhi na mazingira kwa ujumla. Angalia kwenye mitaro , mifereji na madampo jinsi mifuko ya plastiki inavyotamba.
Wana jamvi mnasemaje?
Wana jamvi mnasemaje?