Zing
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 1,767
- 470
Imekua kwa kazi kwa wabunge kama ilivyo kwa wnegi wengi kutaja mishahara yetu. hIlo tunaweza kuliewa.
Sasa kuna hii mifuko ya jimbo amabayo inasimamiwa na wabunge.
NB:
Hii mifuko ilitakiwa kutumika kama mfano wa wabunge kuionyesha serikali how to be
Sidhani kama ni sawa . Binafsi naona Serikali imewaingiza kwenye mitego na wao wamenasa
Nawasilisha
Sasa kuna hii mifuko ya jimbo amabayo inasimamiwa na wabunge.
- Je ni wabunge wangapi wameshauriana na wananchi kujua vipaumbele vya wananchi? au as always ni wabunge wanajua nini wananchi wanahitaji?
- Je ni wabunge wangapi wako tayari kuonyesha au wameonyesha matumizi na machangamanuo ya hii mufuko iliyo chini ya udhibiti wao.?
- Sijui kama CAG naye analijua na atafanyeje kuhakikisha hii mifuko si kichaka ufisadi wa kimajimbo?
- Je hii mufuko na fedha zina kinga yeyote kama wabunge walivyo na kinga fulani fulani.
NB:
Hii mifuko ilitakiwa kutumika kama mfano wa wabunge kuionyesha serikali how to be
- accountable
- effiecient and effective
- Timely
Sidhani kama ni sawa . Binafsi naona Serikali imewaingiza kwenye mitego na wao wamenasa
Nawasilisha