kibai
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 202
- 52
Kwa hiyo CDM wakiingia madarakani hii mifuko inakuwa kama benki, watu wanaweka na kuchukua kama upatu, DECI, ukitaka unapat pesa yako bila usumbufu hata hujafikisha umri maana ni yako, au siyo? wewe usitake kuharibu chama chetu, huu usha biki mwingine wa kijinga kabisa, nani ataruhusu pesa za pensheni ziende CCM, huu ni wehu kabisa, fikrazilizo lala hizi, sioni aibu katika hili, mnakuwa kama hamjui kwa makusudi, pesa ya hifadhi ya jamii leo iwe kama benki kweli? nchi gani tutakuwa tunatengeneza hii, mimi nakubaliana na unemployment benefits kama serikali inaweza lakini hizi za uzeeni zibakie jamani mtakuwa na hli ngumu huko mbeleni, shauri zenu endeleeni kutumia masaburi kufikiria.
Huu ni uwizi wa wazi wa mchana kweupe! Hatukubali