Masaki
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 3,463
- 752
Bora ya wewe umeweka wazi umesikia yule jamaa alie kaa machimboni miaka 14 kurudi wife ana watoto 2 wa jamaa wa mitaani akatembeza rungu kwa watoto na kuwaua.
Ila hizi ndoa zina mambo, kuna mtu namfahamu mkewe ana mimba na jamaa anasema ile mimba siyo ya kwake!!! Mimi napata kizunguzungu nikiwaangalia!