Miezi miwili bila mawasiliano ameachwa?naomba ushauri

FirstLady1, ndugu wapo, na rafiki yangu alimuuliza shemeji yake kama anawasiliana na kakake akasema yupo ok tu, yeye akamuambia kuwa hawasiliani nami, akasema basi ataongea nae, kesho yake yule shemeji yake akamwambia rafiki yangu kuwa amesema atakupigia, hajapiga na wala hapokei akipigiwa. Mimi mwenyewe nasikia hasira sana, sijui la kusema namuonea huruma sana best wangu
 
FirstLady1, ndugu wapo, na rafiki yangu alimuuliza shemeji yake kama anawasiliana na kakake akasema yupo ok tu, yeye akamuambia kuwa hawasiliani nami, akasema basi ataongea nae, kesho yake yule shemeji yake akamwambia rafiki yangu kuwa amesema atakupigia, hajapiga na wala hapokei akipigiwa. Mimi mwenyewe nasikia hasira sana, sijui la kusema namuonea huruma sana best wangu


huyu dada anatakiwa aangalie upande wa pili wa coin, kama mkaka wa huko yupo kimya anategema nduguye ndio amsh2e?
 
Mwambie ampe muda zaidi hata karibu miezi 6 hv ndio ahesabu maumivu mara nyingi 'HARAKA HARAKA huwa HAINA BARAKA'
 
FirstLady1, ndugu wapo, na rafiki yangu alimuuliza shemeji yake kama anawasiliana na kakake akasema yupo ok tu, yeye akamuambia kuwa hawasiliani nami, akasema basi ataongea nae, kesho yake yule shemeji yake akamwambia rafiki yangu kuwa amesema atakupigia, hajapiga na wala hapokei akipigiwa. Mimi mwenyewe nasikia hasira sana, sijui la kusema namuonea huruma sana best wangu

Mwambie maisha yanatakiwa yaendelee, japo ni uamuzi mgumu sana! Yeye atafute namba nyingine ya simu ampigie, asitumie namba yake. Akipokea amuhoji sababu za kuuchuna. Lazima kuna kitu, siyo bure!
 
sasa hata mail hajibu, hivi kwanini wanaume hamuwi wa kweli ili wengine waendelee na mahusian mengine kuliko kuendelea kusubiri vicvyosubirika.....

hapa ndio huwa nashindwa kuelewa hawa viumbe wana matatizo gani, utakuta yeye huko kwa raha zake anaendeleza libeneke huku akijua mwenzie anamsubiri, kwa nini asimwambie...na huyo dada kusubiri muda wote huo ana tatizo? probesheni ikizidi sana ni miezi sita
 
Watu wa Ulaya kwenye mambo ya mahusiano na uchumba ni issue, probability ya kutimiza ahadi ni ndogo mno
 
hapa ndio huwa nashindwa kuelewa hawa viumbe wana matatizo gani, utakuta yeye huko kwa raha zake anaendeleze libeneke huku akijua mwenzie anamsubiri, kwa nini asimwambie...na huyo dada kusubiri muda wote huo ana tatizo? probesheni ikizidi sana ni miezi sita

Kwani wanawake hawayafanyi haya? Wanaweza kuzaa hata watoto wa nje ndani ya ndoa na kujua fika watoto si wa mume lakini wakala kobisi na kujifanya kila kitu ni shwari. Acheni hizo za kutaka kulaumu wanaume tu wakati wanawake nao wanafanya mambo hayo hayo ya uasherati hata ndani ya ndoa. Binadamu wote tuna mapungufu kutaka kuonyesha kwamba wanaume tu ndiyo wenye matatizo ni makosa makubwa sana. Au siyo wewe Preta uliyekuwa unasifia utamu wa nyumba ndogo? Umeshamueleza muhusika kama una nyumba ndogo au ulikuwa unatania tu kuhusu utamu wa nyumba ndogo?
 
kwa nini asimwambie...na huyo dada kusubiri muda wote huo ana tatizo?

Naona jamaa aliomba gemu akanyimwa akaambiwa mpaka siku ya harusi sasa huyo dada ana haraka gani na yeye si asubili mpaka siku ya harusi jamani.
 
Naona jamaa aliomba gemu akanyimwa akaambiwa mpaka siku ya harusi sasa huyo dada ana haraka gani na yeye si asubili mpaka siku ya harusi jamani.

Mambo ya kizamani kweli hay, enzi Mwanamutapa! :)
 
FirstLady1, ndugu wapo, na rafiki yangu alimuuliza shemeji yake kama anawasiliana na kakake akasema yupo ok tu, yeye akamuambia kuwa hawasiliani nami, akasema basi ataongea nae, kesho yake yule shemeji yake akamwambia rafiki yangu kuwa amesema atakupigia, hajapiga na wala hapokei akipigiwa. Mimi mwenyewe nasikia hasira sana, sijui la kusema namuonea huruma sana best wangu

Sasa kumbe jibu alishapewa, anadadishwa na nini? keshaachwa huyo. Sometimes lovers are like dala dala, you miss one you find another one coming down the road. Tatizo huyo dada hadatishwi na huyo jamaa, anadatishwa na ile ahadi ya kupelekwa Marekani.
 
Nashukuru sana kwa kunipa input, huyo jamaa aliwahi kupokeaa simu siku ya tatu toka alipoondoka, akasema kuwa kafika salama, toka hapo simu inaitaa hapokei, sms hajibu, email hajibu, na sms zinaonyesha zimeenda. Rafiki yangu anampenda sana jamaa wametoka mbali sana yaani amedata.

Mambo ya mitandao, sionagi missing call wala sms lazima anakosea namba. E-mail nimebadili natumia hii masanilo@jamiiforums.com. wakati mwingine issue zetu asiweke JF niko busy kidogo nitamtumia invitation mwambie bado nampenda atulize mzuka miezi miwili kitu gani tumetoka mbali

Masanilo Kugemwa
 
hapa ndio huwa nashindwa kuelewa hawa viumbe wana matatizo gani, utakuta yeye huko kwa raha zake anaendeleza libeneke huku akijua mwenzie anamsubiri, kwa nini asimwambie...na huyo dada kusubiri muda wote huo ana tatizo? probesheni ikizidi sana ni miezi sita



kuendane na mawacliano, kama yamekatika kihivi huo muda kwangu ni mrefu kuota ndoto za alinacha.

 
Hehehehe mpaka siku hizi mpwa yapo mm kuna kigoli mwaka wa pili huu sijaonja matunda ya uhuru.

Dah! You must be kidding, wenzio huwa wanaonja siku ya pili tu ya maridhiano, wewe miaka miwili?
 
Kwani wanawake hawayafanyi haya? Wanaweza kuzaa hata watoto wa nje ndani ya ndoa na kujua fika watoto si wa mume lakini wakala kobisi na kujifanya kila kitu ni shwari. Acheni hizo za kutaka kulaumu wanaume tu wakati wanawake nao wanafanya mambo hayo hayo ya uasherati hata ndani ya ndoa. Binadamu wote tuna mapungufu kutaka kuonyesha kwamba wanaume tu ndiyo wenye matatizo ni makosa makubwa sana. Au siyo wewe Preta uliyekuwa unasifia utamu wa nyumba ndogo? Umeshamueleza muhusika kama una nyumba ndogo au ulikuwa unatania tu kuhusu utamu wa nyumba ndogo?


unakoroga mambo.
 
Nashukuru sana kwa kunipa input, huyo jamaa aliwahi kupokeaa simu siku ya tatu toka alipoondoka, akasema kuwa kafika salama, toka hapo simu inaitaa hapokei, sms hajibu, email hajibu, na sms zinaonyesha zimeenda. Rafiki yangu anampenda sana jamaa wametoka mbali sana yaani amedata.

Amedata !!!!
 
kuendane na mawacliano, kama yamekatika kihivi huo muda kwangu ni mrefu kuota ndoto za alinacha.
[/COLOR]

Bora ya wewe umeweka wazi umesikia yule jamaa alie kaa machimboni miaka 14 kurudi wife ana watoto 2 wa jamaa wa mitaani akatembeza rungu kwa watoto na kuwaua.
 
Naona jamaa aliomba gemu akanyimwa akaambiwa mpaka siku ya harusi sasa huyo dada ana haraka gani na yeye si asubili mpaka siku ya harusi jamani.

sasa harusi gani hiyo yenye mawasiliano ya kubahatisha, kuna harusi tena hapo kweli?
 
Back
Top Bottom