Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,991
Ulaghai wa Bernard Madoff ulijulikana tarehe 10 Disemba pale alipowaambia wanae kuwa biashara yake ilikuwa ni mradi wa ponzi. Watoto wakawaambia wanausalama siku hiyo hiyo: kilichofuata:
a: Kesho yake FBI walimkamta na kumfungulia mashtaka ya security fraud
b: Siku tano baadaye mali zake na zile za shirika zake zikazuiliwa na kupewa msimamizi maalum
c: Leo (miezi mitatu baadaye) Madoff amekubali kuwa na hatia ya mashtaka 11 ambayo jumla ya vifungo vyake akipewa adhabu ya juu kabisa ni miaka 150!
Here is the kicker:
Tanzania tuligundua wizi wa EPA lini, Meremeta lini, Mwananchi Gold, Deep Green, Rada, Minara n.k Lini?
What does that tell about our law enforcement agencies?
Najiuliza hivi kama wizi huu wa benki kuu ungekuwa umetokea kwenye nchi hizi za wenzetu hivi kweli bado kungekuwa na watu wanaendelea kutaka tununue mitumba ya Dowans? Hapa nawaza tu wala sina point yoyote!!
a: Kesho yake FBI walimkamta na kumfungulia mashtaka ya security fraud
b: Siku tano baadaye mali zake na zile za shirika zake zikazuiliwa na kupewa msimamizi maalum
c: Leo (miezi mitatu baadaye) Madoff amekubali kuwa na hatia ya mashtaka 11 ambayo jumla ya vifungo vyake akipewa adhabu ya juu kabisa ni miaka 150!
Here is the kicker:
Tanzania tuligundua wizi wa EPA lini, Meremeta lini, Mwananchi Gold, Deep Green, Rada, Minara n.k Lini?
What does that tell about our law enforcement agencies?
Najiuliza hivi kama wizi huu wa benki kuu ungekuwa umetokea kwenye nchi hizi za wenzetu hivi kweli bado kungekuwa na watu wanaendelea kutaka tununue mitumba ya Dowans? Hapa nawaza tu wala sina point yoyote!!