Huu ni mtazamo wangu binafsi kwamba brazil wameonyesha kiwango cha juu cha dharau na kukosa heshima uwanjani. Ijapokuwa ilikuwa ni mechi za kirafiki nimekuwa nikifatilia mechi zote mbili ya Zimbabwe na Tanzania na inaonekana wachezaji wa brazil wanajiona wao ni lulu na mnapocheza nao msiwakabe wala kuwazuia.
Kama mmewaangalia wakizuiliwa wanaanza kupiga vibao wachezaji wa timu pinzani na hilo lilionekana wazi Zimbabwe na jana pia. Vile kuna waliocheza jana walikuwa wanasema walikuwa wakitoa lugha chafu mbele yao. Sawa wao ni wachezaji wazuri na ni timu bora but mbona sio mabingwa wa soka duniani sasa???? Hata kama wao wameshinda mara nyingi haimaanishi wao ni mabingwa wa kutandika watu vibao na kuwatolea lugha chafu. Football kama ni nikimquote kocha wa ivory coast "is the game of contact" hatuchezi kidali po sasa kama hawataki kuguswa basi wangelikataa mwaliko.
Binafsi wameniboa sana na sijafurahishwa na tabia yao I am putting my money kwa Argentina, Ivory Coast, na England.
Kama mmewaangalia wakizuiliwa wanaanza kupiga vibao wachezaji wa timu pinzani na hilo lilionekana wazi Zimbabwe na jana pia. Vile kuna waliocheza jana walikuwa wanasema walikuwa wakitoa lugha chafu mbele yao. Sawa wao ni wachezaji wazuri na ni timu bora but mbona sio mabingwa wa soka duniani sasa???? Hata kama wao wameshinda mara nyingi haimaanishi wao ni mabingwa wa kutandika watu vibao na kuwatolea lugha chafu. Football kama ni nikimquote kocha wa ivory coast "is the game of contact" hatuchezi kidali po sasa kama hawataki kuguswa basi wangelikataa mwaliko.
Binafsi wameniboa sana na sijafurahishwa na tabia yao I am putting my money kwa Argentina, Ivory Coast, na England.