Nani huwa anamtumia mwenzie?Inashangaza kweli. . .
Eti alomtumia mwenzake anafagiliwa na huruma anaonewa ,dada wa watu ndio anaonekana mbaya. Kesho kutwa utasikia anaanzishiwa thread nyingine ya "anantumia mtoto"akitaka matumizi makubwa. Kisa, yeye ndo kageuka mtumiaji na hiyo HAIKUBALIKI kwa Ruta. . .yeye tu ndo anaeruhusiwa kutumia wenzie na akimaliza alalamike yeye. Some men. . . hasara tupu.
Nani huwa anamtumia mwenzie?
Yeyote anayepokea mapenzi ya mwenzie na kumhadaa aongeze mautamu huku akijua fika hana muda nae.
Si huyo mtoa mada kafagilia mauno? Yasingekua mazuri asingesifia.Kipimo cha utamu ndiyo tatizo, unajuaje kama unyoongeza ni mazuri au mabaya.
Waweza jidai unaongeza kumbe ndiyo unapunguza kama sio kuharibu kabisa!.
Ukajikuta unakimbiwa.
Siku hizi mauno yana mengi sasa huwezi jua, pengine alitoa na mengine ambayo ya maunoni pia lakini yakamkimbiza Ruta.Si huyo mtoa mada kafagilia mauno? Yasingekua mazuri asingesifia.
Mkuu Rutashubanyuma wewe toa elimu bana
Wanaokushutumu najua na wao kuna sehem unawagusa
na kama unagusa interest za watu ni lazima wawe wakali aise
We fanya kazi yako mkuu tena ukiw ana uwezo wa kufanya hayo
I think hadaa iko kwenye mapokeo yako ya mauno, mwenzio akahadaika kuzidisha maufundi..........kumbe....... ...lol.
Sasa basi nadhani nikubaliane na wewe maana japo kwa mawazo yangu ya mwanzo yalilenga kumtetea mdada kwa sababu inauma sana matarajio yako kwenye mapenzi yanapokuwa tofauti, nakubaliana na wewe sababu japo wewe unaonekana ni villain lakini inabidi kujenga tabia ya kufanya mapenzi kwa makubaliano..........dhana ya utii inajengwa kutokana na wadada kuheshimu dhamana aliyokuwa nayo mwanaume kama "kichwa" katika maamuzi mengi hivyo hudhani kuwa kwa kutoa viashiria fulani mwanaume atamsoma na watapanga mipango kwa njia ya telepathy
1.
kama mauno ulikatiwa, kwa nini ulijichomoa,
kama mchezo aujua,kwa nini hukumridhia,
kama alikukinga jua, kwa nini wewe ulimchomea?
Ruta twataka kujua, kwa vipi kwake hukutulia?
2.
kama mauno ukikatiwa, na moyo wako ulitulia,
kwa nini hukusubiria, ile kesho muweze ifikia,
kwa nini uliparamia, vihongwe na viruka njia,
Ruta twataka kujua, kwa vipi kwake hukutulia?
3.
kama mauno ukikatiwa, hadi kuja hadithia,
raha ilipokuzidia, ya kesho mbali ulitupilia,
wote mwana mlichelea, ila yeye pekee alia!
Ruta twataka kujua, kwa vipi kwake hukutulia?
4.
kama mauno ukikatiwa, kwa nini hukumzingatia?
pendo lake lithaminia, badala ya visa ulomfanyia,
utamkosa wa kukuimbia, na kuambulia wa kukugunia,
Ruta twataka kujua, kwa vipi kwake hukutulia?
Nani huwa anamtumia mwenzie?
"Hakuna ahadi niliyokupa au hata wewe kunipatia pia."
...inaonekana kama kwako wewe atakayekuja na dau kubwa la "kesho yenu" ndiye atakayeondoka na mali". Nina wasiwasi akija mwengine na ahadi nzuri kuliko huyu wa sasa, utaanzisha uziManunguniko yako yamenifikia lakini mwenzio kakuwahi!
Kweli tuliahidiana, lakini mwenzio katoa ahadi nzuri zaidi!
That's all what she did "kukata mauno na kujua mchezo?" Hakuwa na sifa nyengine? Ila yake ni kutokudai mkataba mapema tu? When she was supposed to ask for it, the first day, during the first buno?Mie sikani mauno ulinikatia na mchezo waujua!
Rutashubanyuma, King'asti anajifanyaga kichwa ngumu tu...lakini, kumpima mjusi joto, inahitaji timing
Nadhani ulimwambia (nakumpenda), sasa haumwambia tena neno hilo ndiyo utapeli wako!