Ni ugonjwa flani, wewe mtu wa Mungu hauwezi kukupata achana nao
Rutashubanyuma Nimekuchukia gafla, na kuanzia leo usinitag mathread yako ya uonevu kiasi hiki. Kumbafu zako (msjiemkani-ban ninyi wakuu). Ila huu ni ukumbafu, ulitaka mtu aanze kuuliza ndoa hata hajui umebeba nini ndani yako. Moyoni na mwili yaniiiii...khaa wewe bwana wewe.......khaaaaa....Do not mention LD any more.Kesho na kesho kutwa tuliiweka kapuni bila kukusudia
Bila ya kuipangilia mie nilijionea sawa na hata wewe vivyo
Hapa na pale mjuaji akaja na kutumbukia mawazoni mwangu
Kauli yake ilinitikisa na kesho yetu tukaipangilia bila zengwe!
Mie sikani mauno ulinikatia na mchezo waujua!
Kosa langu nielimishe hadi sasa kuniita mdanganyifu.
Hakuna ahadi niliyokupa au hata wewe kunipatia pia
Yawaje sasa udai umetapeliwa khali hatuna makubaliano?
Manung'uniko yako yamenifikia lakini mwenzio kakuwahi!
Mie sikani mauno ulinikatia na mchezo waujua!
Mengi unazoza lakini yote ni tisa tu hakuna jawabu.
Kama ungelikuwa makini ungelinitonya juu ya kesho yetu.
Mie nilidhani tunapita tu na hivyo sikukutilia maanani
Mbona mwenzio aling'aka na kutaka ajue yatakayomsibu?
Mie sikani mauno ulinikatia na mchezo waujua!
Rutashubanyuma Nimekuchukia gafla, na kuanzia leo usinitag mathread yako ya uonevu kiasi hiki. Kumbafu zako (msjiemkani-ban ninyi wakuu). Ila huu ni ukumbafu, ulitaka mtu aanze kuuliza ndoa hata hajui umebeba nini ndani yako. Moyoni na mwili yaniiiii...khaa wewe bwana wewe.......khaaaaa....Do not mention LD any more.
Rutashubanyuma Nimekuchukia gafla, na kuanzia leo usinitag mathread yako ya uonevu kiasi hiki. Kumbafu zako (msjiemkani-ban ninyi wakuu). Ila huu ni ukumbafu, ulitaka mtu aanze kuuliza ndoa hata hajui umebeba nini ndani yako. Moyoni na mwili yaniiiii...khaa wewe bwana wewe.......khaaaaa....Do not mention LD any more.
Pamoja na hayo bado una ka-percent kakulaumiwa,kumbe ulikuwa unachezea buno lake bila kumtaarifu kama tayar una mwanamke wako... Sio wote wenye mawazo ya 'hit n run' ujue....
Umeona eeh!
Akianza kuzungumzia 'kesho', Uzi ungekuwa na heading ifuatayo. "Hata nusu mwaka bado, anadai mkataba....."
Hawa viumbe si wakuwaendekeza; fuata moyo wako, akikupenda ataenda na mziki wako!
Heshima kwako mkuu,naomba kukuuliza hivi hizi methali huwa unatunga au unacopy kwenye vitabu,maana zimesimama ile mbaya,
Back to topic:
Unaweza ukasema ngoja nipite hapa ukajikuta umenasa,kwa hiyo asilaumiwe huyo mhanga wa mauno.
Msema ukweli kipenzi cha Muumba hivyo sikani!
Ya kuwa mie nawe tulikuwa beneti sana tena sana!
Nakumbuka tulivyokutanishwa na aliyetutambulisha!
Unyenyekevu wako ulinikoga na Kiswahili kuniyeyuka!
Mie sikani mauno ulinikatia na mchezo waujua!
Haba haba hujaza kibaba na penzi la kasi tulilifukizia
Hapa na pale tukajikuta tumo ndani ya lindi la mahaba
Bila ya kutarajia tukajikuta kitanda twalala sote bila mbinde
Huko tulinogewa na hata kusahau kuwekana sawa ya kesho
Mie sikani mauno ulinikatia na mchezo waujua!
Kesho na kesho kutwa tuliiweka kapuni bila kukusudia
Bila ya kuipangilia mie nilijionea sawa na hata wewe vivyo
Hapa na pale mjuaji akaja na kutumbukia mawazoni mwangu
Kauli yake ilinitikisa na kesho yetu tukaipangilia bila zengwe!
Mie sikani mauno ulinikatia na mchezo waujua!
Kosa langu nielimishe hadi sasa kuniita mdanganyifu.
Hakuna ahadi niliyokupa au hata wewe kunipatia pia
Yawaje sasa udai umetapeliwa khali hatuna makubaliano?
Manunguniko yako yamenifikia lakini mwenzio kakuwahi!
Mie sikani mauno ulinikatia na mchezo waujua!
Mengi unazoza lakini yote ni tisa tu hakuna jawabu.
Kama ungelikuwa makini ungelinitonya juu ya kesho yetu.
Mie nilidhani tunapita tu na hivyo sikukutilia maanani
Mbona mwenzio alingaka na kutaka ajue yatakayomsibu?
Mie sikani mauno ulinikatia na mchezo waujua!
Mauno yana raha yake, ndio maana unayakumbuka.
Bila kutarajia tukajikuta kitanda twalala sote.., tena bila Mbilinge... hahahahahaa.., I love this one..!
Thanx Ruta..!