Mie sikani, mauno ulinikatia na mchezo waujua!

Hizi medhali na Nahau kwenye hili shairi naona vinanizingua! Ngoja nimtafute Mzee mzima Mudhihiri wa Mudhihiri aweze kunifafanulia lugha hii nadhimu ya kiswahili! Lkn Big Up kwa huu msemo - Mie sikani mauno ulinikatia na mchezo waujua!
 
ruta, "mwana" nilimmaanisha huyo fundi wa mauno. Aliekupagawisha moyo wako ukiwa kwingne
 
Last edited by a moderator:
Kesho na kesho kutwa tuliiweka kapuni bila kukusudia
Bila ya kuipangilia mie nilijionea sawa na hata wewe vivyo
Hapa na pale mjuaji akaja na kutumbukia mawazoni mwangu
Kauli yake ilinitikisa na kesho yetu tukaipangilia bila zengwe!
Mie sikani mauno ulinikatia na mchezo waujua!

Kosa langu nielimishe hadi sasa kuniita mdanganyifu.
Hakuna ahadi niliyokupa au hata wewe kunipatia pia
Yawaje sasa udai umetapeliwa khali hatuna makubaliano?
Manung'uniko yako yamenifikia lakini mwenzio kakuwahi!
Mie sikani mauno ulinikatia na mchezo waujua!


Mengi unazoza lakini yote ni tisa tu hakuna jawabu.
Kama ungelikuwa makini ungelinitonya juu ya kesho yetu.
Mie nilidhani tunapita tu na hivyo sikukutilia maanani
Mbona mwenzio aling'aka na kutaka ajue yatakayomsibu?
Mie sikani mauno ulinikatia na mchezo waujua!
Rutashubanyuma Nimekuchukia gafla, na kuanzia leo usinitag mathread yako ya uonevu kiasi hiki. Kumbafu zako (msjiemkani-ban ninyi wakuu). Ila huu ni ukumbafu, ulitaka mtu aanze kuuliza ndoa hata hajui umebeba nini ndani yako. Moyoni na mwili yaniiiii...khaa wewe bwana wewe.......khaaaaa....Do not mention LD any more.
 
Rutashubanyuma Nimekuchukia gafla, na kuanzia leo usinitag mathread yako ya uonevu kiasi hiki. Kumbafu zako (msjiemkani-ban ninyi wakuu). Ila huu ni ukumbafu, ulitaka mtu aanze kuuliza ndoa hata hajui umebeba nini ndani yako. Moyoni na mwili yaniiiii...khaa wewe bwana wewe.......khaaaaa....Do not mention LD any more.

I can understand you, yaani kumplease mama's boy kama Ruta you have to be a devil himself! Yeye siku zote ni victim, makosa yote ni ya wanawake.
 
Heshima kwako mkuu,naomba kukuuliza hivi hizi methali huwa unatunga au unacopy kwenye vitabu,maana zimesimama ile mbaya,
Back to topic:
Unaweza ukasema ngoja nipite hapa ukajikuta umenasa,kwa hiyo asilaumiwe huyo mhanga wa mauno.
 
Rutashubanyuma Nimekuchukia gafla, na kuanzia leo usinitag mathread yako ya uonevu kiasi hiki. Kumbafu zako (msjiemkani-ban ninyi wakuu). Ila huu ni ukumbafu, ulitaka mtu aanze kuuliza ndoa hata hajui umebeba nini ndani yako. Moyoni na mwili yaniiiii...khaa wewe bwana wewe.......khaaaaa....Do not mention LD any more.

LD hata mie kaniboa sana. . .
Pole mwaya!!
 
Ahhhhgghh kaka!!! mpe chakula yake. huyu anaoneka ana jeraha, na kulingana na wasifu wake anaoneka utamjutia huyu. alas!
 
hapo ndipo nawaza, tumekutana PIN Point ama bilcanas
tukanywa vinywaji na kucheza pia na mauno tukapeana
Sasa walalama nini wakati hatukupeana tafsiri ya kesho?
 
Umekwepa swali langu la msingi, so u were seing two girls at the same time!

Kaunga, Kaunga...........you sound like my mother.........why are you like that?
majibu unayo...............huyu mpya alikuja baadaye tu na kumwaga sear zake bila ya kificho mie nikamkubalia kosa langu liko wapi?
 
Last edited by a moderator:
Pamoja na hayo bado una ka-percent kakulaumiwa,kumbe ulikuwa unachezea buno lake bila kumtaarifu kama tayar una mwanamke wako... Sio wote wenye mawazo ya 'hit n run' ujue....

HEART bila ya makubaliano yanayoeleweka mie nilihisi hana mpango wa kudumu na mie......kwa hiyo nikaishia.........lawama yatoka wapi wakati alikuwa bubu na kesho yetu?
 
Last edited by a moderator:
Umeona eeh!
Akianza kuzungumzia 'kesho', Uzi ungekuwa na heading ifuatayo. "Hata nusu mwaka bado, anadai mkataba....."

Hawa viumbe si wakuwaendekeza; fuata moyo wako, akikupenda ataenda na mziki wako!

Kaunga hayo sasa ni ya kwako......too speculative....that is what I see......
 
Last edited by a moderator:
Heshima kwako mkuu,naomba kukuuliza hivi hizi methali huwa unatunga au unacopy kwenye vitabu,maana zimesimama ile mbaya,
Back to topic:
Unaweza ukasema ngoja nipite hapa ukajikuta umenasa,kwa hiyo asilaumiwe huyo mhanga wa mauno.

kichomiz haya yanafyatuka toka kichwani hata mie sijui chanzo chake...................tatizo la huyu wa kale ni kuwa yeye ndiye mwenye malalamiko mie sina malalmishi ila yabidi ajibiwe hapahapa aache ubishi na ukora........lol
 
Last edited by a moderator:
Msema ukweli kipenzi cha Muumba hivyo sikani!
Ya kuwa mie nawe tulikuwa beneti sana tena sana!
Nakumbuka tulivyokutanishwa na aliyetutambulisha!
Unyenyekevu wako ulinikoga na Kiswahili kuniyeyuka!
Mie sikani mauno ulinikatia na mchezo waujua!

Haba haba hujaza kibaba na penzi la kasi tulilifukizia
Hapa na pale tukajikuta tumo ndani ya lindi la mahaba
Bila ya kutarajia tukajikuta kitanda twalala sote bila mbinde
Huko tulinogewa na hata kusahau kuwekana sawa ya kesho
Mie sikani mauno ulinikatia na mchezo waujua!

Kesho na kesho kutwa tuliiweka kapuni bila kukusudia
Bila ya kuipangilia mie nilijionea sawa na hata wewe vivyo
Hapa na pale mjuaji akaja na kutumbukia mawazoni mwangu
Kauli yake ilinitikisa na kesho yetu tukaipangilia bila zengwe!
Mie sikani mauno ulinikatia na mchezo waujua!



Kosa langu nielimishe hadi sasa kuniita mdanganyifu.
Hakuna ahadi niliyokupa au hata wewe kunipatia pia
Yawaje sasa udai umetapeliwa khali hatuna makubaliano?
Manung’uniko yako yamenifikia lakini mwenzio kakuwahi!
Mie sikani mauno ulinikatia na mchezo waujua!


Mengi unazoza lakini yote ni tisa tu hakuna jawabu.
Kama ungelikuwa makini ungelinitonya juu ya kesho yetu.
Mie nilidhani tunapita tu na hivyo sikukutilia maanani
Mbona mwenzio aling’aka na kutaka ajue yatakayomsibu?
Mie sikani mauno ulinikatia na mchezo waujua!

Bila kutarajia tukajikuta kitanda twalala sote.., tena bila Mbilinge... hahahahahaa.., I love this one..!:)
Thanx Ruta..!
 
Bila kutarajia tukajikuta kitanda twalala sote.., tena bila Mbilinge... hahahahahaa.., I love this one..!
IVU9K0iq+D87Xv8PJ81qDf07KYgAAAAASUVORK5CYII=

Thanx Ruta..!

Weeeeeeeeeee Mbimbinho mie kwenye hiyo red nilisema mbinde sasa hii ya kwako mbona huo msamiati umenipita kando wamaanisha nini hiyo Mbilinge?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom