Mie naunga mkono Kikwete ni dhaifu sana, he is too weak n boring sometimes

Kaka ni kweli,kuna kisima mkuu alikuja kuzindua huku kwetu,kilikuwa na thamani ya mil 30!gharama ya msafara wake ilikuwa mil 25!
Nonsense kabisa
 
Mie nimekubaliana na makala hii asilimia 100% hebu nawe isome then utoe mchango wako wa kutoka moyoni. mie ni mwana CCM tangu high school ila linapofika swala la kusema ukweli ni bora niwe wazi.
=========================



Chanzo: Raia mwema.

- Majungu majungu tu ndio wabongo tunajua Jumuiya ya kimataifa inasema DR. JK ni mmoja wa marais bora 10 wa Africa haya magazeti uchwara kazi kuchumia tumbo, Chama hakiwezi kuchaguliwa kushika madaraka kwa miaka 53 huku kikiwa kinaongozwa na Rais asiye na uwezo next time jaribuni tena kwenye uchaguzi mpate kura za kumshinda Rais wa CCM ama sivyo mtaandika hizi singo za Bongo Flava mpaka mwisho wa Dunia CCM ndio chama tawala!!, kilichochaguliwa na wananchi sijui mnawawakilisha wananchi nchi gani na mawazo yenu mgando!!

Le Mutuz
 
Maneno meeengi, kilchomo swaga zile zile za kila siku, haya tuambie Ulitaka Kikwete aifanye Tanzania iwe kama marekani au ufaransa au Ujerumani kwa miaka hiyo 10?

Kafanya nini cha kusaidia tanzania kuendelea hapo baadae.
 
Nmesikia kaenda kufungua daraja wkt magufuli yupo ndo maan hawataki katiba mpya ya UKAWA kisa rais atapunguziwa madaraka sasa ona anayofanya tatizo ni udkt wa kupewa bila kusomea....
 
Nmesikia kaenda kufungua daraja wkt magufuli yupo ndo maan hawataki katiba mpya ya UKAWA kisa rais atapunguziwa madaraka sasa ona anayofanya tatizo ni udkt wa kupewa bila kusomea....

- Eti UKAWA yenye WAbunge 2 wa CUF kutoka Lindi na Wabunge 4 wa NCCR tokeo Kigoma, na Chadema wabunge 46 kutokea Kaskazini ndio wanawawakilisha Tanzania nzima wananchi? ha1 ha! ha!

Le Mutuz
 
Mkuu.
Matatizo anayafahamu kwa 100% tena yote. Amezaliwa tanzania Lugoba-msoga kama sijakosea na amekulia hapahapa TZ

Hana uwezo wa kimkakati kuyatatua, uwezo wake nikuhudhuria mazishi, muziki, na safari za nje.

kifikra nakufanya maamuzi ni zaidi ya 0%. Sijajuwa ccm walitumia vigezogani kumpatia kijiti huyu bwana. Mkapa anastahili

kuhukumiwa kwa kwamwachia nchi mzurulaji na asiefahamu majukum yake.

Siamini km ana utz laiti angekuwa hvyo asingeweza kuwa zumbukuku km hv kwel madaraka yanalevya zaidi ya pombe na haswa ukiwa sakala
 
Kaka ni kweli,kuna kisima mkuu alikuja kuzindua huku kwetu,kilikuwa na thamani ya mil 30!gharama ya msafara wake ilikuwa mil 25!
Nonsense kabisa

Ninavyojua mimi, Ratiba za uzinduzi wa kitu sio ratiba rasmi katika schedule ya Raisi ila inapotokea ni ratiba Mtambuka. Other wise ni kitu chenye National intrest kama Barabara etc.
 
- Eti UKAWA yenye WAbunge 2 wa CUF kutoka Lindi na Wabunge 4 wa NCCR tokeo Kigoma, na Chadema wabunge 46 kutokea Kaskazini ndio wanawawakilisha Tanzania nzima wananchi? ha1 ha! ha!

Le Mutuz

Uchache siyo hoja ndugu, mbona marekani ni ka nchi kadogo tu ukilinganisha na Uchina, lkn ndo the the book of genesis in the modern civilization? Japan nika nchi kadogo tu, lkn uchumi wake ni mkubwa kuliko nchi nyingi kubwa duniani kama France, UK etc.

Sikiliza hoja zenye nguvu, hoja zina nguvu kuliko kura za kuiba za ccm. Yesu ni mtu mmoja tu, lkn kila mtu anamwabudu dunia kwa sababu ya hoja zake na uwezo na kipaji alicho pewa na Mungu.

Chunga kiburi chako cha ubwabwa na pilau na makofia yenu ya kuimport kutoka uchina!! Kuwa na wabunge wengi hakuwapi uwezo wa kufikiri kuzidi wengine, siyo miujiza kuwa na wabunge wengi. Ujinga wa wa tz usiwapofue macho, kuweni wasikivu!
 
Kikwete hakustahili kuwa Rais kwa muonekano wake; kwa jina lake; elimu yake na sifa zingine za ajabu alizonazo!Uthibitisho wa hayo yote ni nchi inavyojiendea endea hivi sasa wakati yeye akitumia muda mwingi kutambulisha majina yake ya ajabu duniani!
 
Najaribu kufikiria kati ya Kikwete, Malecela, Sumaye na Lowasa ni nani ambaye angeweza kuwa rais mzuri kwa Tanzania. Watu hao manne ndio waliokuwa political heavyweights wa CCM wakati Kikwete anachaguliwa ingawa Lowasa alisismama nyuma ya Kikiwete wakati huo. Wengine walishapakwa matope kiasi kuwa majina yao yalikuwa hayasomeki tena.
 
JK JEMBE na aniondoka tutamkumbuka,enzi BEN hata BUNGE alikuwa live,ebu angalia MIUNDOMBINU.
 
Mkapa atuambie,alitumia vigezo gani kumpa kikwete kuwa mgombea wa urais?

Nikukumbushe huyo Nyerere alitumia vigezo gan kumnad Mzee Ben kuwa rais???turud nyuma pia,Mkapa leo nae analalamikia maadil while alikua rais na maadil ya watawala yalikua mabovu,kinachoendelea kwa JK ni muendelezo ulioanzia huko nyuma,tujifumze kuwapima viongoz wanaoutaka uongoz,kama lilifanyika kosa,basi lisifanyike tena
 
Last edited by a moderator:
Mkapa atuambie,alitumia vigezo gani kumpa kikwete kuwa mgombea wa urais?

Nikukumbushe huyo Nyerere alitumia vigezo gan kumnad Mzee Ben kuwa rais???turud nyuma pia,Mkapa leo nae analalamikia maadil while alikua rais na maadil ya watawala yalikua mabovu,kinachoendelea kwa JK ni muendelezo ulioanzia huko nyuma,tujifumze kuwapima viongoz wanaoutaka uongoz,kama lilifanyika kosa,basi lisifanyike tena
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom