Mie nahisi mungu hapendi wanawake......

Fab

JF-Expert Member
Apr 16, 2010
757
14
wanawake wanabeba mimba na kuzaa kwa uchungu.....

wanawake wanakwenda hedhi kila mwezi sometimes inaambatana na maumivu makali....

ukitolewa bikira mwanamke inaambatana na maumivu makali wakati wanaume wanapeta tuu...lol

wanawake wamepewa siku chache za kuenjoy sex wakati wanaume wanaenda mpaka miaka 70......

mungu ameonyesha upendeleo kwa kiumbe mwanaume, kama dhambi ya asili tulishiriki wote kwa nini wanawake tu ndio tuadhibiwe kwa kuishi kitabu tabu tu?.....:A S 39::A S 39:

sikujua niiweke wapi hii:cool::cool:
 
Lakini si mnakumbuka wakati wa uumbaji wa binadamu wa kwanza Adam na Eva, nyoka alikuja kumdanganya Eva na kisha akala tunda alilokatazwa halafu akampa na mumewe Adam naye akala. Kilichotokea baada ya kila mmoja alipewa adhabu yake. Adam aliambiwa "utakula kwa jasho" ndio maana wanaume tunahangaika kutafuta chochote. Eva aliambiwa "utazaa kwa uchungu"
wanawake wamepewa siku chache za kuenjoy sex wakati wanaume wanaenda mpaka miaka 70......
Wote wamepewa siku nyingi ila kwa mwanamke uwezo wa kuzaa ndio unapungua lakini maswala ya ndani ya 18 penati zinapigwa kama kawa. Ehe he he he...
 
Lakini si mnakumbuka wakati wa uumbaji wa binadamu wa kwanza Adam na Eva, nyoka alikuja kumdanganya Eva na kisha akala tunda alilokatazwa halafu akampa na mumewe Adam naye akala. Kilichotokea baada ya kila mmoja alipewa adhabu yake. Adam aliambiwa "utakula kwa jasho" ndio maana wanaume tunahangaika kutafuta chochote. Eva aliambiwa "utazaa kwa uchungu"

Wote wamepewa siku nyingi ila kwa mwanamke uwezo wa kuzaa ndio unapungua lakini maswala ya ndani ya 18 penati zinapigwa kama kawa. Ehe he he he...

hapana uwezo wa kuzaa ukifika kikomo na uwezo wa kushiriki tendo la ndoa kwa mwanamke ndio umefika kikomo!sababu linaendesha na hormones unless ufanye hormon replacement therapy....

ingekuwa uwezo wa kushiriki tendo la ndoa unabaki si tungejidai sana? :A S tongue::A S tongue:
 
Mungu anawapendelea wanawake......
Kwa sababu sisi wanaume hata uwe vipi huwezi
kuishi bila mwanamke....
But wanawake mnaweza ishi wenyewe.......
Sisi we depends on you...more than you depends on us.....
 
Pamoja na machungu uliyoyataja Mungu kawajalia wanawake moyo mkuu wa upendo, uvumilivu na kujitoa.
 
acha utani aisee, sisi wanaume azabu yetu tumepewa mission imposibo . kumridhisha mwanamke akarizika kimaisha ,kwangu mimi naita mission impossible.
 
wanawake wanabeba mimba na kuzaa kwa uchungu.....

wanawake wanakwenda hedhi kila mwezi sometimes inaambatana na maumivu makali....

ukitolewa bikira mwanamke inaambatana na maumivu makali wakati wanaume wanapeta tuu...lol

wanawake wamepewa siku chache za kuenjoy sex wakati wanaume wanaenda mpaka miaka 70......

mungu ameonyesha upendeleo kwa kiumbe mwanaume, kama dhambi ya asili tulishiriki wote kwa nini wanawake tu ndio tuadhibiwe kwa kuishi kitabu tabu tu?.....:A S 39::A S 39:

sikujua niiweke wapi hii:cool::cool:


Mmmmmh! si kweli mungu anatupenda sana tena sana.Tena namshukuru mungu kwa kunifanya mm mwanamke.Mungu zidi kuongeza wanawake wengi duniania.
 
wanawake wanabeba mimba na kuzaa kwa uchungu.....

wanawake wanakwenda hedhi kila mwezi sometimes inaambatana na maumivu makali....

ukitolewa bikira mwanamke inaambatana na maumivu makali wakati wanaume wanapeta tuu...lol

wanawake wamepewa siku chache za kuenjoy sex wakati wanaume wanaenda mpaka miaka 70......

mungu ameonyesha upendeleo kwa kiumbe mwanaume, kama dhambi ya asili tulishiriki wote kwa nini wanawake tu ndio tuadhibiwe kwa kuishi kitabu tabu tu?.....:A S 39::A S 39:

sikujua niiweke wapi hii:cool::cool:

Nadhani ni kwa vile ni ninyi mlioanza kushawishiwa na kisha mkakubali kulila lile tunda na kumpa yule jamaa pia(Mkamshawishi) kwa hiyo lazima mpate adhabu kali zaidi.
 
No comment...... mwacheni Mungu aitwe Mungu!
Ni kweli mkuu, lakini kwa nini ikawa hivi kwa hawa wenzetu?? kila kitu kwao ni uchungu wakati sie twafurahia!!! Kuzaa uchungu wkt wewe wafurahia kuitwa baba, MP matatizo, Bikra pia nayo!! :frusty:mi nadhani pengine ni kweli Mungu alikasirishwa sana na lile tendo walilofanya! Mimi huamini kuwa ktk kila jambo litokealo au lilotokea hapa duniani huwa na sababu yake!
 
wanawake wanabeba mimba na kuzaa kwa uchungu.....

wanawake wanakwenda hedhi kila mwezi sometimes inaambatana na maumivu makali....

ukitolewa bikira mwanamke inaambatana na maumivu makali wakati wanaume wanapeta tuu...lol

wanawake wamepewa siku chache za kuenjoy sex wakati wanaume wanaenda mpaka miaka 70......

mungu ameonyesha upendeleo kwa kiumbe mwanaume, kama dhambi ya asili tulishiriki wote kwa nini wanawake tu ndio tuadhibiwe kwa kuishi kitabu tabu tu?.....:A S 39::A S 39:

sikujua niiweke wapi hii:cool::cool:

Zambi ya Asili? kwa kosa gani mlilo lifanya?. Basi Mungu wako wa ajabu kwelekweli, kosa la wengine uazibiwe wewe. hakuna kitu zambi ya asili ni kutiana ujinga tu!, ulishiriki lini kuitenda zambi hiyo
 
Unaamini kweli mungu hawapendi wanawake au kufurahisha baraza?!

Maana nashangaa Mungu unae miamini ukampa Ila( weakness) ya kutipenda jinsia fulani.

Tukisema Mungu ni muadilifu na mwenye upendo kwa wote hawezi kuchukia wanawake...unless mwenzetu uwe a non believer na unataka upatiwe maelezo ya kwa niñi wadini wanasema mungu ni muadilifu
 
Mmmmmh! si kweli mungu anatupenda sana tena sana.Tena namshukuru mungu kwa kunifanya mm mwanamke.Mungu zidi kuongeza wanawake wengi duniania.


...sababu gani zinazokufanya uone ni jambo la kumshukuru mungu kuzaliwa mwanamke?...do you mind to share,ili sie tunaokwazika tukifikiria haya mateso yanayoambata na uanamke tuwe tunapata faraja tukizifikiria sababu zako?
 
Zambi ya Asili? kwa kosa gani mlilo lifanya?. Basi Mungu wako wa ajabu kwelekweli, kosa la wengine uazibiwe wewe. hakuna kitu zambi ya asili ni kutiana ujinga tu!, ulishiriki lini kuitenda zambi hiyo

jaribu kuheshimu miungu ya wengine...utakuwa na amani lol:lie:
 
Unaamini kweli mungu hawapendi wanawake au kufurahisha baraza?!

Maana nashangaa Mungu unae miamini ukampa Ila( weakness) ya kutipenda jinsia fulani.

Tukisema Mungu ni muadilifu na mwenye upendo kwa wote hawezi kuchukia wanawake...unless mwenzetu uwe a non believer na unataka upatiwe maelezo ya kwa niñi wadini wanasema mungu ni muadilifu

Angekuwa na upendo kwa wote asingemuwekea mwanamke tabu zote hizi....

I am a believer but everytime i see my Monthly period......i wonder if GOD loves us women?why would he let us go through this helll?

i dont have kids myself,but from watching telly and listening to others....having a baby is the most painful thing on earth....why would god allow this,if he loved us at all?

the most weird thing is to listen to some women,who says despite all those misuko suko they enjoy being a woman,what do you enjoy in having a period?:A S-eek::A S-eek::A S-eek::mad::mad::lie:
 
acha utani aisee, sisi wanaume azabu yetu tumepewa mission imposibo . kumridhisha mwanamke akarizika kimaisha ,kwangu mimi naita mission impossible.

Yaani wee acha tu. Na kila kukicha demand zinaongezeka
 
Angekuwa na upendo kwa wote asingemuwekea mwanamke tabu zote hizi....

I am a believer but everytime i see my Monthly period......i wonder if GOD loves us women?why would he let us go through this helll?

i dont have kids myself,but from watching telly and listening to others....having a baby is the most painful thing on earth....why would god allow this,if he loved us at all?

the most weird thing is to listen to some women,who says despite all those misuko suko they enjoy being a woman,what do you enjoy in having a period?:A S-eek::A S-eek::A S-eek::mad::mad::lie:

Fab, mimi nisingependa kulijibu hili swali kama Mungu hawapendi Wanawake, lakini niliwahi kuona swali katika mtandao mwingine ambapo aliyeuliza swali alitaka kujua kama watu wa jinsia mbali mbali wangepata nafasi ya kuzaliwa tena na kupewa uwezo wakuchagua jinsia wanayoipenda.

Nilishangazwa na majibu ya wanawake ambao idadi kubwa ya waliojibu walisema kama kungekuwa na uwezekano kama huo basi wangependa kuzaliwa Wanaume, hakuna hata mwanaume mmoja kati ya wale waliojibu aliyependa kuzaliwa na mwanamke.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom