Anne Maria
JF-Expert Member
- Mar 22, 2012
- 399
- 98
- Thread starter
- #21
tugongee picha zako hapa. tuone ka meno yako ni masafi.
captchaaa!!!!:smile: there u have it jamani,, meupeeeee!!! teh teh teh
tugongee picha zako hapa. tuone ka meno yako ni masafi.
teh teh teh ahjajajaj,,,, wife replies" oohh my love si you know nikienda home kuwatembelea wazazi nalal na wadogo zangu so watashangaa mbona dada panta hiyohiyo kila siku wakati nabadilishaaaa..."" aaaa hahahhaha: Husband buys a dozen of same-colour pants for his wife. Wife,protesting ," Ah! Why buy the same colour? People will think I never change my panties"! Husband: "Which People?". Total Silence!! Pls help this woman to answer this all important question now. Which people?
Hmm..:x
Mwayego usiondoke, jikaliage tuuu. Mimi huyu ushanipata ngoja nikupiemu rafiki
khaaa sasa wewe mie sio comedian jamani nimesema tuu am easy to laugh at good joke,,, kucheka ni lazima uchekeshwe na kuchekeshwa kwaja na topic jamanii,,, teh teh teh teh..... ila pole kwa kuumizwa na tanzagiza.... hamna nchi hapa!!!
Coment yako imenifanya nimkumbuke yule mtoto ambaye aliigiza kwenye lile tangazo la haki elimu SIDANGANYIKI lakini cha kushangaza mwaka jana nilimuona na mimba na sidhani hata kama alifanikiwa kumaliza shule!!......I think you know what i mean.
hahahaha aya ya ya
yeah refresh.... give urself some fresh air... besides life aint waiting for u so enjoy while u still have a breath to breathe:smile:Kweli ni tanzagiza hadi kichwa kinauma! I need to refresh.
Jamani Anne, Mbona kama nahisi kukupendapenda hv! Ni PM basi nikupe full vichekesho, utapenda mwenyewe wala hutompenda mtu mwingine isipokuwa mimi tu. Plz.
Mbimbinho.. jina lako tuu limeshanifurahisha ondoa shaka nitaku pm basi teh teh teh teh
yameungua yooote ila ni meupeee,, teh teh tehMeno yako hayajaungua?
OTIS
Hv haya maisha yalvo magumu bado 2 kuna wenze2 wao wanawaza kucheka cheka ka yule taahira wa pale magogon?
Hv haya maisha yalvo magumu bado 2 kuna wenze2 wao wanawaza kucheka cheka ka yule taahira wa pale magogon?
sasa ukinuna ndo maisha yatakua marahisi eeehh au????? teh teh teh teh....:caked: chke kidogo wewe utarefusha maisha yako sawa eeeee Senetor,,,plus kurelease stress za hii nchi
teh teh teh teh we kujaga tuu mwaya......mie wil be kusubiria 4 u Mtei One:rolleyez: