Toa maelezo ya mtu mwenye kuelewa, kifaa kipi? Kitatumika katika nyanja ipi? Vipo vifaa vingi vinavyotumika katika miili ya binadamu kama matibabu, viungo bandia n.k. Wewe umesikia nini kuhusu hiyo MICROCHIP?
kitatumika kurekodi mambo yako yote na hutaweza kupata huduma kahaunacho na pia kama unacho hutakuwa unajulika yale yote unayafanya vp umenipata?
niongezee tu kuwa Tanzania ipo ktk kipindi cha mpito kuwafundisha wafugaji juu ya mfumo huu wa utambuzi unaotarajiwa kuanza 2013 na tayari ipo ktk sheria ya nchi. Kwenye nane nane serikari kupitia wizara ya mifugo na uvuvi imekuwa ikitolea maelezo mara kwa mara@regina
unadhani NWO haijafika....? stuka kijana....
Wat's up? Jf members mi nimesikia mambo kuhusu kifaa ambacho kinategemewa kutumika katika miili yetu.naombeni ufafanuzi juu ya hiki kifaa!.
Wat's up? Jf members mi nimesikia mambo kuhusu kifaa ambacho kinategemewa kutumika katika miili yetu.naombeni ufafanuzi juu ya hiki kifaa!.
Wat's up? Jf members mi nimesikia mambo kuhusu kifaa ambacho kinategemewa kutumika katika miili yetu.naombeni ufafanuzi juu ya hiki kifaa!.