Mnachunganya tu wengine ambao hatukwenda jangwani wala kuona kwenye Runinga. Wekeni basi hizo picha ambazo ni sahihi. Ambazo ni za leo na si za 2010. Wekeni ambazo hazijachakachuliwa. Yaani mtu unazungushia fulana iliyoandikwa 2010 unataka tuamini kwamba hao walikuwa kwenye mkutano wa kampeni 2010! Kwa hiyo watu hawavai fulani wala kofia za 2010 za CCM? Mbona uswabilini kwangu wengine wanatumia hizo fulana kuendea makanisani.
You dont need to be graphic designer kuona usanii uliofanywa hapa. Picha ya kwanza ukiangalia kwa makini utaona kuna makundi mawili. Kundi la nyuma kabisa watu wanangalia 'direction nyingine' na kundi hili la pili. Au walikuwa na majukwaa mawili?
Lakini pia, colour/mpauko wake ni toafuti. Kule nyuma kunaonekana watu wako kwenye jua kali zaidi ya hawa wa mbele. Yote hii ya nini? Unamdanganya nani?
Huu ni ushabiki wa kipumbavu, hatakama watanzania wote wangejaa pale Jangwani,bado swali la msingi linabaki palepale, je matatizo ya uchumi wa nchi na ugumu wa maisha ya wananchi wa Tanzania yalitatuliwa? Wewe mwenyewe mleta mada hii, ulinufaikaje na umati wa watu Jangwani? Hiyo fulana ya njano uliyopewa uvae jana ilitatua matatizo ya mfumko wa bei?Hahahaaaa inafurahisha sana unapoona mwizi anakurupushwa kisha anaanza kusingizia viatu vinateleza, mwisho anakamatwa, anaanza kupiga kelele mbona hata juma aliiba jana???!!!! Anasahau MSHIKWA NA NGOZI....CDM HAWATAKI KUKUBALI KUWA CCM JANA WAMEFUNIKA BOVU JANGWANI ,WAMEAMUA KUZUSHA YAFUATAYO;
1. Watu walibebwa na malori na mabasi hivyo mkutano sio halali..... HIVI KUNA MTU ALIKAMATWA KWA NGUVU KUPANDA HAYO MALORI NA MABASI.?KAMA WALIPANDA WENYEWE WAKAFIKA MPAKA JANGWANI NA KUKAA MPAKA MWISHO, TATIZO NI NINI?LAKINI KWANINI TUFANANISHE UJAJI WA WANACHAMA WA CHAMA CHA HARAKATI MKUTANONI NA ULE WA CHAMA TAWALA?!! ETI WOTE WAJE KWA MGUU!!! This is mufilisi!!!
2. Oohh kuna uchakachuaji wa picha....!!! MAANA YAKE HATA MITANDAO YAO IMECHAKACHUA PICHA?!!!SASA KMA MPAKAMITANDAO YA CDM INACHAKACHUA PICHA KUWABEBA CCM BADO MNACHAMA?!!! KUENDELEA KUBWAWAJA NI KUJIVUA NGUO ZAIDI SHUT UP GUYS!!!
Wanao weza kuongoza ni akina nani? wale wanaokwenda China kununua sare za ATCL kwa mabilioni, wanao agiza mitambo mibovu ya kufua umeme, Richmond, meremeta, Deep Green, wala rushwa, wafuja fedha za halmashauri.................,hata hvy cdm wasijidanganye na kigezo cha kujaza watu,, wanaweza kuongoza?
Amechakachua nini?? zile picha kwenye michuzi alipiga mapema watu wakiwa ndio wanaingia, hawakuwa wengi kivile, ila baadaye ndio wakaja wengine wengi.Sijui leo imetokea nini nikaenda kubrowse kwa michuzi maana huwa siendi
nilichokuta sikutegemea mtu na professional yake ya mtaan ya kupiga picha
anadiliki kuchakachua hizi picha
Bro Michuzi unachakachua kwa manufaa ya nani? Njaa mbaya
Mod naomba mnisadia kuattach vizuri ikiwa zimekaa vibaya
PICHA NYINGINE HIZI HAPA
Wasira akihutubia mbele hakuna watu ( kuna open space)
Anna Tibaijuka wakati anahutubia mbele pako wazi
NApe OPEN SPACE IMEKUWA FILLED
WHAT SHAME MISUPU MISUPU.....................
Dah, mamia hawana viatu, bare feet, wanafurahia maisha bora kwa kila mtanzania. Kazi ipo.