huyo mchuzi ni mwenye upeo mdogo sana. Duniani kote nchi zinasumbukia uwekezaji mkubwa unaotoa ajira na sio ujasiriamali unaohubiriwa tz. Kutengeza ajira ndo kigezo cha maendeleo ya nchi katika uwekezaji. Wewe mchuzi kaongeze elimu uwe msomi pia na uwe na maisha yenye uhakika popote pale utapoamua kuishi.